Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,932
Leo tena post [HASHTAG]#188888[/HASHTAG]Hawezi kwenda huyo

Leo tena post [HASHTAG]#188888[/HASHTAG]Hawezi kwenda huyo

hasira za nini mtaniNajua. Bila kumsema Shimba siku haipiti. Mijanaume mizima lakini umbea na udaku Shigongo cha mtoto. Sad!

Nimeshawajibu. Mashamba yapo na nitawapa bure. Tena na mitambo ya umwagiliaji ilishafungwa tayari. Watu wenyewe hao wazembe wazembe kilimo kweli watakiweza? May be waje niwaajiri kuwa walinzi wa mashamba yangu. Nitawapa na jeep kabisa ya kuzunguka nayo wakiwa lindonimsukuma ukuje unahitajika huku



tano tu zinanitosha mkuuNina mashamba makubwa huku Koromije. Njoo tu nitakupa bure tena na sytem ya umwagiliaji tayari imefungwa. Ushindwe mwenyewe. Unataka ekari ngapi?
tayar afandeFunguka sasa, usije kulalamika baadaye
Haya njoo. Nitakusaidia kwa kila kitu. I hope utamruhusu Husna anitibu jino langutano tu zinanitosha mkuu
nataka nianzishe shamba la mahindi pamoja na mtama



lala kwenye kifua changu bby ukiwa na mimi ondoa wasi kabisaBaby mi nasinzia now![]()
Aiseeboss tatizo unapotea sana boss
Bado anazunguka na sime na marungu yake mtandaoni. Naona ameenda nayo kwenye fungate. Sijui ni ushamba au ni kujilinda hata haijulikani. Ni sokomoko la karne!Ila hujakabidhi vifaa vya kazi
Barua ya hovyo kabisa hii kuwahi kuandikwa. Hivi siku hizi darasa la 4 huko primary school hawafundishi uandishi wa barua za kikazi? Umli my foot!
Asante, no yangu ya bahati inaniongozaLeo tena post [HASHTAG]#188888[/HASHTAG]![]()
nilikupa wewe labda wewe ndo kama utampa au laa mimi huyooIla hujakabidhi vifaa vya kazi

Nimeshawajibu. Mashamba yapo na nitawapa bure. Tena na mitambo ya umwagiliaji ilishafungwa tayari. Watu wenyewe hao wazembe wazembe kilimo kweli watakiweza? May be waje niwaajiri kuwa walinzi wa mashamba yangu. Nitawapa na jeep kabisa ya kuzunguka nayo wakiwa lindoni![]()
Ni ushamba aisee, anamlingishia husnaBado anazunguka na sime na marungu yake mtandaoni. Naona ameenda nayo kwenye fungate. Sijui ni ushamba au ni kujilinda hata haijulikani. Ni sokomoko la karne!
mmmh yamekuwa hayo tenaHaya njoo. Nitakusaidia kwa kila kitu. I hope utamruhusu Husna anitibu jino langu![]()

Bado anazunguka na sime na marungu yake mtandaoni. Naona ameenda nayo kwenye fungate. Sijui ni ushamba au ni kujilinda hata haijulikani. Ni sokomoko la karne!
Hapa wanasayansi kuna kitu wanaficha. Haya mapiramidi yalijengwaje? Kuna mawe yana uzito wa mpaka tani 30 na yanaonekana kama vile yamekatwa kwa moto (lasers). Isitoshe, Wamisri hawa wa kale waliwezaje kuyapandisha juu mpaka ghorofa ya 14 huko bila mashine yo yote? Wanasema eti ni kamba na nguvu za watumwa lakini wakijaribu ku-replicate leo hii hawawezi mpaka walete mawinchi tena yale mega.
Kucheka ni tiba. Cheka tena na tena. Hata Husna akikuudhi we cheka tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umenifanya nimecheka kwa sauti
lakini ujumbe umemfikia mlengwa



nitacheka tu sina jinsiKucheka ni tiba. Cheka tena na tena. Hata Husna akikuudhi we cheka tu![]()