Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Alaa kumbe!wanawivu mimi kukupata bby wangu
siwaskizi saaaana..
eèe bby wapotezeeAlaa kumbe!
Santeee ngoja nikupe kimoja cha asubui uchangamke
Pono? Rekodini kabisa mkanda mzima muweke hapa tuburudike. Malimbukeni wa mapenzi bwana! Mwanamke aliyefundwa na hadhi yake kabisa anatamka hadharani mambo ya faragha na mumewe? Twisted and shameful coupleSanteee ngoja nikupe kimoja cha asubui uchangamke



️Ndege yangu imeanza ku-board. Off to Addis. Najua mtanisimanga sana wakati sipo. Nitawacheki jioni na kuwajibu umbea wenu. Be careful and bye for now. Much love!Pole sana ipogoloSafari hii niliogopa hali ya hewa. Tungamalenga mvua hazikuwa nzuri. Kilolo pia.
AmenUbarikiwe kaka
Morning shululuMorning all kapuku
Pono? Rekodini kabisa mkanda mzima muweke hapa tuburudike. Malimbukeni wa mapenzi bwana! Mwanamke aliyefundwa na hadhi yake kabisa anatamka hadharani mambo ya faragha na mumewe? Twisted and shameful couple
️Ndege yangu imeanza ku-board. Off to Addis. Najua mtanisimanga sana wakati sipo. Nitawacheki jioni na kuwajibu umbea wenu. Be careful and bye for now. Much love!
Asante kwa magazeti mkuuMpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa
Mtoto wa Mao (Lee) nawatakieni wote jumatatu njema
Asante mkuu nawe pia mungu akutangulie katika shughuli zako za wiki nzimashululu , asante sana kwa magazeti ya leo.
Tunapoianza wiki hii mpya, nawatakia wiki njema Makapuku wenzangu
Mungu awaponye majeruhi hawa walioenda kutibiwa marekani
na aendelee kuwafariji wafiwa wote.Pamoja sana afande shededeasante mkuu uwe na siku njema mkuu
asante kwa magazeti
Mtihani wa mauaji Kibiti ,utafutiwe majibu..pumzika kwa amani .
Kapendeza hongera SHIMBAAaaa wapi? Mlinzi mwenyewe alikuwa anapotea mpaka hata wiki haonekani lindoni. Sema tu nilihamishia "mashambulizi" Kigali na Uhabeshi. Hata sasa niko safarini kuelekea huko KIKAZI.![]()
Asante sanaMAGAZETI YA LEO HIVI PUNDE