shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Morning MndaliPole sana ipogolo
Morning MndaliPole sana ipogolo
MorningMorning shululu
Pamoja MndaliAsante kwa magazeti mkuu
Poa, Za pande hizoWakuu mmeamkaje
Mi nimeamka salama kamanda mvua vipi huko bado ipoMorning Mndali
AsantePamoja Mndali
Siku njema mkuu,naamini Mungu anaendelea kukuimarisha uwe na siku na safari njema ubarikiwePono? Rekodini kabisa mkanda mzima muweke hapa tuburudike. Malimbukeni wa mapenzi bwana! Mwanamke aliyefundwa na hadhi yake kabisa anatamka hadharani mambo ya faragha na mumewe? Twisted and shameful couple
️Ndege yangu imeanza ku-board. Off to Addis. Najua mtanisimanga sana wakati sipo. Nitawacheki jioni na kuwajibu umbea wenu. Be careful and bye for now. Much love!

Pande hizi ziko kama MUNGU alivyo penda iwePoa, Za pande hizo
Gwagona dadaAsante sana
Ubarikiwe mkuu Shululu,asante kwa magazeti ,asante Lee kwa udhamini kazi yenu ni njemaMpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa
Mtoto wa Mao (Lee) nawatakieni wote jumatatu njema

MITHALI 18
Neno
likawe faraja yako siku ya jumatatu ya leo na wiki nzima BWANA MUNGU awe ngome yako IMARA katika jina la YESU LIPITALO MAJINA YOTE AMEN

Mwaghona kaka mwalamusha?Gwagona dada
Morning Shululu.Morning Mndali
Salama kaka za uzima ubarikiweWakuu mmeamkaje
Amen Obe ubarikiwe siku na wiki njema kwakoshululu , asante sana kwa magazeti ya leo.
Tunapoianza wiki hii mpya, nawatakia wiki njema Makapuku wenzangu

Mvua hamna, ila jana ilinyesha sana mchanaMi nimeamka salama kamanda mvua vipi huko bado ipo
Asante mama mchungajiUbarikiwe mkuu Shululu,asante kwa magazeti ,asante Lee kwa udhamini kazi yenu ni njema![]()
AmenMITHALI 18
10.Jina la BWANA ni NGOME IMARA mwenye haki huikimbilia akawa SALAMA.
Neno
likawe faraja yako siku ya jumatatu ya leo na wiki nzima BWANA MUNGU awe ngome yako IMARA katika jina la YESU LIPITALO MAJINA YOTE AMEN
![]()
TUOMBE
Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu wetu kwa ulinzi wake usiku kucha,umetukinga na mengi Baba asante,tunaomba ulinzi wako katika familia zetu na baraka zako katika kazi za mikono yetu,Tunawaombea uponyaji wagonjwa hasa ndugu yetu SHIMBA YA BUYENZE anayesumbuka na jino,wafiwa,yatima na wajane wasipungukiwe,wasafiri nchi kavu,majini,angani akiwemo SHIMBA WA BUYENZE wafike salama damu ya Yesu iwafunike,Tunawaombea watumishi wa Mungu watumike sawasawa na mapenzi yako,kutana na hitaji la kila mmoja wetu Baba maana ulisema Ombeni nanyi mtapewa Mathayo 7:7,Bariki Makapuku wote na tuwe mfano mzuri kwa wengine na watu wazidi kukujua wewe Mfalme wa Amani.Tubariki tuingiapo na tutokapo
Tunaomba yote katika jina la Yesu .
Amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA![]()
![]()