Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Anasema eti baadhi ya silaha alikukabidhi wewe. Kwani uliomba hiyo kazi ya kumlinda Shunie au jamaa alikuwa anakusakizia tu?Ni ushamba aisee, anamlingishia husna
Anasema eti baadhi ya silaha alikukabidhi wewe. Kwani uliomba hiyo kazi ya kumlinda Shunie au jamaa alikuwa anakusakizia tu?Ni ushamba aisee, anamlingishia husna
afu bby nilivyo iona iyo avatar nimestuka nikajua ety mods wamebadili jina langu![]()
![]()
![]()
bby bana kwaiyo hutaki shunie akuzidi

There is no free lunch under the sun, son. Dawa ya meno anayo na mashamba niwape bure, kwa nini "asinitibu?" na mimi?mmmh yamekuwa hayo tena![]()
![]()
Anasema eti baadhi ya silaha alikukabidhi wewe. Kwani uliomba hiyo kazi ya kumlinda Shunie au jamaa alikuwa anakusakizia tu?

Marhabaa, hujambo mtoto mzuri???Kamoo
Silaha hazipo nyumbani. Shunie hajaziona. Boss ndo hata fununu hana. Kwenye barua ya kuacha kazi hujasema silaha ziko wapi. Unasema eti ulimpa Shululu. Shululu naye anakana kuwa hujampa na hana habari nazo. Sasa ziko wapi kama hutembei nazo? Rudisha silaha za watu please. Ni ulimbukeni kutembea na sime na marungu barabarani hasa kama siyo Mmasai. Geez!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
jino limekuuma wee sasa hasira unamalizia kwangu
Wakuu niwatakie usiku mwema
Mungu awape wepesi wa mahitaji yenu
KIJANA UKIWA UNAKAA NA KULAUMU JUA UMAPOTEZA WAKATI WAKO
KIJANA WAPASWA KUWA MBUNIFU NA MWENYE KUFANYIA KAZI NDOTO ZAKO
kwa nondo MndaliHata kama ulitupiwa, rudisha silaha za watu. Si na wewe uwatupie? Shida iko wapi?![]()
![]()
![]()
mi mwenyewe sikuomba nilitupiwa
![]()
![]()
![]()
![]()
karibu sana mkuu
pia hii ni barua yangu
YAH: KUACHA KAZI
Kchwa cha habari taja hapo juu nimeamua kwa akili yangu mwenyewe kuacha kazi kwasababu zifwatazo
umli
-kama unavyojua boss umli wangu umekwenda kwakweli miezi 2 mizima nakulindia mke kwakweli boss nimechoka
mke
-na ndio kilichofanya nikuandikie barua hii boss nimeamua kuoa boss nimeona umli unaenda ukizingatia sina hata mtoto mmoja boss ......the end
wako mtiifu katika kazi

Silaha hazipo nyumbani. Shunie hajaziona. Boss ndo hata fununu hana. Kwenye barua ya kuacha kazi hujasema silaha ziko wapi. Unasema eti ulimpa Shululu. Shululu naye anakana kuwa hujampa na hana habari nazo. Sasa ziko wapi kama hutembei nazo? Rudisha silaha za watu please. Ni ulimbukeni kutembea na sime na marungu barabarani hasa kama siyo Mmasai. Geez!
same to youGoodnight guys
Kwa mujibu wa shimbanawewe tena![]()
![]()
Haaaaahaaaa, eti alinikabidhi sijui lini, shunie mwenyewe hanitaki kabisaSilaha hazipo nyumbani. Shunie hajaziona. Boss ndo hata fununu hana. Kwenye barua ya kuacha kazi hujasema silaha ziko wapi. Unasema eti ulimpa Shululu. Shululu naye anakana kuwa hujampa na hana habari nazo. Sasa ziko wapi kama hutembei nazo? Rudisha silaha za watu please. Ni ulimbukeni kutembea na sime na marungu barabarani hasa kama siyo Mmasai. Geez!
ZABURI 121

Goodnight sir,have a colourfull night,guardian angels be with you tonight,be covered by the Blood of Jesus ,Be BlessedGoodnight guys

Nawe pia,lala salama barikiwawakuu usiku mwema mlale unono