shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Misambwanda umemchanganaMmh mama mchuchu je
Ni rahisi kumsahau mama mchungaji
Misambwanda umemchanganaMmh mama mchuchu je
Kazi ya ulinzi hamna tena hapoWoyoooooooo watu na baby zao
Kwa nini tenaUmenishinda tabia![]()
![]()
![]()
Naona mama mchuchu ataachwa mda si mrefu ndio atakapo mkumbuka binamu obeMisambwanda umemchangana
Ni rahisi kumsahau mama mchungaji
Pole sana mkuu SHIMBA YA BUYENZE NAJUA MUNGU ANAFANYA KITU KWAKO UPONYAJI NI LAZIMA NAMWOMBA MUNGU AKUSIMAMIE KATIKA MATIBABU YAKO,UPONE LIPO TUMAINI TUNAPOMTEGEMEAMakapuku. Jino langu moja wameliwekea permanent crown. Ni process rahisi lakini kulikuwa na bleeding kwenye gums kidogo ikaleta matatizo. Process ya robo-nusu saa ikachukua karibu masaa matatu. Lakini eventually everything went well.
Binadamu sisi yani we acha tu. Jino tu likichachamaa mtu hoi. Kutokana na sababu hii sitaweza kuanzisha zile series zangu mbili nilizomwahidi Obe jana. Nitazianzisha J'3 mambo yakienda sawa sawa.
Ukienda mahospitalini huko kuna watu wana magonjwa ya kutisha sana. Wewe kama uko mzima hapo mshukuru Mungu kwa baraka zake; na acha kulalamika kuhusu vitu vidogo vidogo ambavyo wala havina tija in the grand scheme of things. Mbarikiwe sana wapendwa!![]()
ISAYA 53
KUTOKA 23
JEREMIA 30
JEREMIA 17
Tatizo ni huo weupe na ng'ombe vinalandanahahhahah sasa mm ngombe zake zinanihusu nini
ahhhaha hamna lkn aje kuongea na boss wake amwambieKazi ya ulinzi hamna tena hapo
Pole sana mkuu SHIMBA YA BUYENZE NAJUA MUNGU ANAFANYA KITU KWAKO UPONYAJI NI LAZIMA NAMWOMBA MUNGU AKUSIMAMIE KATIKA MATIBABU YAKO,UPONE LIPO TUMAINI TUNAPOMTEGEMEA
AMINI NA SIMAMA KATIKA NAFASI YAKO UKIMTEGEMEA :
ISAYA 53
5. Bali alijeruhiwa kwa
makosa yetu Alichubuliwa kwa maovu yetu adhabu ya amani yetu ilikua juu yake,Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona...
KUTOKA 23
25 Nanyi mtamtumikia BWANA,Mungu wenu naye atakibariki chakula chako ,na maji yako nami nitakuondolea ugonjwa kati yako
26.Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba,wala aliye tasa.katika nchi yako na hesabu ya siku zako nitaitimiza.
JEREMIA 30
17.Maana nitakurudishia afya ,nami nitakuponya jeraha zako,asema BWANA ,kwa sababu wamekuita mwenye kutupwa wakisema ni Sayuni ambao hamna mtu autakaye
JEREMIA 17
14. UNIPONYE,EE BWANA NAMI NITAPONYEKA,UNIOKOE NAMI NITAOKOKA,KWA MAANA WEWE NDIYE SIFA ZANGU.
NAKUTAKIA UPONYAJI WA MWILI NA ROHO DAMU YA YESU INENE MEMA![]()

Ameishajua kuwa kaharibuhahhaha aisee mbona tofaut na ulivyouliza
hahahaha....h hujaskia kwamba nimepata aliyechomoka kwa ubavu wanguYako poa, unapotea sana aisee
Mpaka tukajua uko porini kuchunga mbuzi
Love you too.napenda ulivyo muelewa sana bby i forever loving you

Utani wako sio wa nchi hiiKwa nini tena
Kweli aiseeNaona mama mchuchu ataachwa mda si mrefu ndio atakapo mkumbuka binamu obe
ujue nayo kuwa na mahusiano ni kipaji na ni kifungo tuachieni tuliojizoelea
hahahha mm sina msambwandaTatizo ni huo weupe na ng'ombe vinalandana
Hata useme ng'ombe mia zinatoka tu
Pole sana mkuu SHIMBA YA BUYENZE NAJUA MUNGU ANAFANYA KITU KWAKO UPONYAJI NI LAZIMA NAMWOMBA MUNGU AKUSIMAMIE KATIKA MATIBABU YAKO,UPONE LIPO TUMAINI TUNAPOMTEGEMEA
AMINI NA SIMAMA KATIKA NAFASI YAKO UKIMTEGEMEA :
ISAYA 53
5. Bali alijeruhiwa kwa
makosa yetu Alichubuliwa kwa maovu yetu adhabu ya amani yetu ilikua juu yake,Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona...
KUTOKA 23
25 Nanyi mtamtumikia BWANA,Mungu wenu naye atakibariki chakula chako ,na maji yako nami nitakuondolea ugonjwa kati yako
26.Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba,wala aliye tasa.katika nchi yako na hesabu ya siku zako nitaitimiza.
JEREMIA 30
17.Maana nitakurudishia afya ,nami nitakuponya jeraha zako,asema BWANA ,kwa sababu wamekuita mwenye kutupwa wakisema ni Sayuni ambao hamna mtu autakaye
JEREMIA 17
14. UNIPONYE,EE BWANA NAMI NITAPONYEKA,UNIOKOE NAMI NITAOKOKA,KWA MAANA WEWE NDIYE SIFA ZANGU.
NAKUTAKIA UPONYAJI WA MWILI NA ROHO DAMU YA YESU INENE MEMA![]()

hahahahaAmeishajua kuwa kaharibu
Boss wake sijui kama atamuelewaahhhaha hamna lkn aje kuongea na boss wake amwambie
iyo takuachia wewe umlinde aisee ufate misingi yote nilikuwa nikiifanya vishawishi vyakina msukuma lazima viwepo mwenzio nilikuwa navishinda.....Kazi ya ulinzi hamna tena hapo
Nimesikia, pia na kazi umeachahahahaha....h hujaskia kwamba nimepata aliyechomoka kwa ubavu wangu