Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Russia's Aviation Thermoboric Bomb of increased Power
159b4363a0dc0eaa6cae48ea42d7bbb9.jpg
7d7579f2ed6d36304c09d4e726e28ae6.jpg

"vitu vyote vinavyoishi vinaweza kuyeyuja" hayo ni maneno ya kiongozi mmoja huko Urusi wakati wa uzinduzi wa Bomu hilo mwaka 2007 akimaainisha ni bomu hatari kiwango cha SGR
zinajulikana kama Father Of All Bombs(FOAB)...Lina nguvu X 4 ya Bomu lisilo la kinyuklia la MUsa Liitwalo GBU 43/B Massive Ordinance Air Bomb
.......
I see
 
5/Chimera Virus
d65210d8bc6d515ce6b883bfcfb4160d.jpg
0f5cd7c010b31393ff246bb0fa7b8ef0.jpg

Hiki ni kirusi kinachotengenezwa kutokana na DNA za virusi viwili so zaidi
V ilitengenezwa na Wasoviet mnamo miaka ya 1980 ili juvisambaza kwa Maadui
Vina uwezo mkubwa wa kuzisumbua darubini za kimaabara Hivyo kusababisha isijulikane njia sahihi ya kuvitibu au chanjo Hivyo kusababisha viendelee jusambaa kwa kasi na vifo
.........
CHIMERA VIRUS
 
1/Tear Bomba
330a28efb14f1a40a8d5ae8739c3296a.jpg
1a747ca87310e60a2271111a6c388d56.jpg
c69c968ce6095f043bc2ea4450414759.jpg

Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyuklia
Mwisho
......
 
1/Tear Bomba
330a28efb14f1a40a8d5ae8739c3296a.jpg
1a747ca87310e60a2271111a6c388d56.jpg
c69c968ce6095f043bc2ea4450414759.jpg

Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyukyia
Mwisho
......
Asante Bitoz kwa top 10 ubarikiwe sana
 
1/Tear Bomba
330a28efb14f1a40a8d5ae8739c3296a.jpg
1a747ca87310e60a2271111a6c388d56.jpg
c69c968ce6095f043bc2ea4450414759.jpg

Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyuklia
Mwisho
......
Asante mkuu kwa elimu ya silaha za maangamizi dhidi ya mwanadamu.
 
1/Tear Bomba
330a28efb14f1a40a8d5ae8739c3296a.jpg
1a747ca87310e60a2271111a6c388d56.jpg
c69c968ce6095f043bc2ea4450414759.jpg

Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyuklia
Mwisho
......
Asante sana mkuu Bitoz kwa habari ya top 10 ya silaha ubarikiwe
 
6/Nimitz Class Aircraft Carrier
5639ddde1354d9264fd9987df9e29e02.jpg
cd2db75aedd88172080bca490113d285.jpg

Hii ndo meli kubwa zaidi ya kubebea zana za kivita duniani
Iligharimu USD 4.5 billion kutengenezwa...ina uwezo wa kutumia km kiwanja cha ndege za kivita kutua, kujaza mafuta, marubani kupumzika n.k
Inaweza kubeba ndege 90 za kivita
Mmarekani kaamua kuiga anatengeneza yake inayoitwa The Gerald Ford Class Aircraft Carrier' itagharimu USD 12 bilioni (si mnawajua Marekani kwa kuzidisha mahesabu wanaweza kusepa chupi ya Trump imeshonwa kwa dola 100000 ili tu iingie kwenye rekodi)
.........
Duh!
 
3/ICBM
fc908708755c023df02184ea9752ffd4.jpg
23eee0cf912861676199e9303274752c.jpg

Kirefu chake ni The Intercontinental Ballistic Missile)
Ni kombora lenye shabaha linaloweza kurushwa umbali wa mail I 3400
Lilitengenezwa maalumu kwa ajili ya kusafirisha silaha za nyuklia
Ni kombora hatari linaliweza kurushwa kwa ndege, nyambizi au gari lina uwezo mkubwa Wa kufika target
.....
Ni shida
 
2/[MIRV
cb4e9cc5ea81a26276d8b4b404ce8819.jpg
600451fd01c0bddb55566fed1b9f01ff.jpg

Hili ni kombora la nyuklia la masafa mrefu linlojumuisha muunganiko wa silaha nyongi

Lina uwezo wa kupiga sehemu nyongi kwa pamoja tofauti na ya kizamani ambayo hupiga uelekeo mmoja tu

Hili kombora ni noma yaani linapiga Tandale,Mbagala na Madale kwa mpigo
.......
Yote haya ni binadamu kumwangamiza binadamu mwenzie
 
1/Tear Bomba
330a28efb14f1a40a8d5ae8739c3296a.jpg
1a747ca87310e60a2271111a6c388d56.jpg
c69c968ce6095f043bc2ea4450414759.jpg

Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyuklia
Mwisho
......
Asante bitoz kwa top ten bora kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom