9/
Rugby
Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
........