BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Tununu kakaTulibhakafu utwa ukwo
Tununu kakaTulibhakafu utwa ukwo
Nini tena shemelaAisee
Walitibuana tena kampeleka hukoalimsamehe alimrudisha kwangu
hahahhahKabla na baada ya neno PRAYER kuna mtu kashika bastola mbili
Sijui ndio sali sala yako ya mwisho
All the time God is good
Ameen mama mchuchuMungu amtunze huko alipo

Binadamu wote tunahitaji maombiShetani muongo sana,huyo baba snajitetea bila aibu,mafuriko yakupeleke straight kwenye kitanda cha mtu,tuwaombe sana wababa
picha hakunaOooh picha ya fisi na huo uwanja wake Tafadhali
Binadamu wote tunahitaji maombiShetani muongo sana,huyo baba snajitetea bila aibu,mafuriko yakupeleke straight kwenye kitanda cha mtu,tuwaombe sana wababa
mchezo upi tena shemAsilete mchezo
Ndaga po tumtufye umalafyale uju atubhikite pa chisuTununu kaka
Binadamu wote tunahitaji maombiShetani muongo sana,huyo baba snajitetea bila aibu,mafuriko yakupeleke straight kwenye kitanda cha mtu,tuwaombe sana wababa
hawajatibuanaWalitibuana tena kampeleka huko
Asanteaisee poleni
Sawa siku ukipiga picha nitumie maana nasikia fisi ni mnyama kauzu zaidi ya simbapicha hakuna
Nzuri shemelaPoa shemela za ww
Njema namshukuru sana Mungu,ila huko lushoto mawe yanaporomoka yanaangukia magari watu wameumia,na njia ya Dar Moshi arusha imefungwa mafurikoMama mchungaji za jioni
Asante shemelapole sana
Mambo ya kawaida. Lakini ni lazima nikiri tu. Msambwanda wa ukweli ukipita aisee inahitaji juhudi za makusudi kutoangalia hata kwa kuibia ibia. Sijui ndo udhaifu na dhambi zenyewe. Nilishawahi kumuuliza hata mchungaji kuhusu hili kama ni dhambi. Jibu alilonipa ni siri yangu. Napambana kuacha lakini ni ngumu. Pengine ndo maana tukaambiwa jicho likikukosesha ni bora tu uling'oe kwa sababu ni bora kuingia katika ufalme wa Mungu ukiwa na chongo au ukiwa kipofu kabisa kuliko kwenda motoni na macho yote mawili.Ndo mambo yko hayo msukuma