Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
Hujaelewa, rudi kasome tenaNi wewe usijikane musukuma kasema
Hujaelewa, rudi kasome tenaNi wewe usijikane musukuma kasema
Wewe ulikubali kwa Ilimradi mwanamme tu.... Wacha hizo Shunie.




inategemea na mtu na mtuMara nyingi inakuwa hivyoHilo First Lady lina roho mbaya
Sema hujui tu
.......
hahhaha hamna basi tu alitaka kunivuruga sijaona tatizo lake sema ndio mwanaume tena inabidi uwe mpoleAliona kama unatoa siri....
nimeshaelewa nakuzingua banaHujaelewa, rudi kasome tena
Ni kweliShida kila mtu anazo
Tofauti ni shida kuhusu nini mfano mapenzi n.k
.......
Ha ha ha ha ha ha ha ha...... Kumbe chongo kwa mnymwezi eeh... Double standard Hizo Shunie... Mtafutie mwenzio kitu mubashara.inategemea na mtu na mtu
acha roho mbaya kaka ujue haupendezi
Bila kuwa mpole hutolia usiku... Ha ha ha ha ha.hahhaha hamna basi tu alitaka kunivuruga sijaona tatizo lake sema ndio mwanaume tena inabidi uwe mpole
NiceSHIMBA bhana
Siku hizi hata tuchokozane vipi hatufiki mbali
Mi mwanzoni nilikuwa nspaniki au kuongea sana kuhusu vitu vidogodogo lakini nimaanza kujifunza kupotezea
Ila km threaf mtu kanitaja kwa mema namjibu km kwa mabaya napiga kimya
Pia thread za kuzinguana sijui makapuku haina dili imejaa watoto hizo nazikaushia tu
...........
hahahahhHa ha ha ha ha ha ha ha...... Kumbe chongo kwa mnymwezi eeh... Double standard Hizo Shunie... Mtafutie mwenzio kitu mubashara.


Sio roho mbaya dadaacha roho mbaya kaka ujue haupendezi
kweli ujue unaliaje sasa mtu kakukasirikiaBila kuwa mpole hutolia usiku... Ha ha ha ha ha.

Ni kweliKifo ndio kinaleta heshima.
Kwani huko naye hapo..... oo.. Just talking aloud?Muwe na usiku mwema wakuu..
Sakayo nakupenda mke wangu wa maisha
Ila ni nini unaona tunafaidi kinyakyusa unataka kutubadilishia kabilaSio roho mbaya dada