Makapuku Forum

Makapuku Forum

hahahahh
musukuma anataka kunipa kazi naanzaje kumuuliza mtu eti we mweupe ni kibonge
yeye amkubali tu kila kitu atajua mbele kwa mbele kwa atakavyokutana navyo huko
Haya basi nimebwaga manyanga. Ye yote tu atafaa ila mtafutie kwanza Shedede. Ukimalizana naye basi ndo uanze kumhangaikia Msukuma wako mbishi...
fbf4c672b2fd77177ad967bffcc52e6f.jpg
 
Ishi na watu kwa wema utafurahia muziki

Najua tumekuwa na wakti mzuri na tunapoenda kuimaliza Jumatano hii basi kama kawaida Makapuku nawakaribisha katika ka-kipengele haka ka ala za muziki na hasa tukijikita katika udonoaji na wadonoaji wa gitaa.

Kwa wapenzi wa muziki wa dansi miaka 20 nyuma, na wanaofuatilia miziki ya bakulutu, bendi ya Maquis Original ni bendi yenye umaarufu mkubwa hapa nchini ikiundwa na wanamuziki wengi toka Kongo na mmoja wao ni mpiga gitaa maarufu Dekula Kahanga almaarufu Vumbi. Mitindo kama Zembwela na Sendema haiwezi kukutoka kiurahisi.

Sikiza vibao cha Ngalula, Mayanga, Makumbele, Karubandika na vingine vingi katika mitindo ya Sendemaa na Zembwela. Gitaa utakalosikia linamuongoza muimbaji awe ni Tshimanga Assossa au Kasaloo basi ni la nguli Dekula Kahanga.

Bado yupo na anafanya muziki wake nchini Sweden akiwa na band yake ya Dekula Band.

Hapa nakuwekea baadhi ya nyimbo alizoweza kuzicharaza na kuzifanya zikavutia zaidi.

FYI: Upigaji wake mzuri umechangiwa zaidi na kufuatisha mipigo ya Nguza Viking (yupo jela sasa akitumikia adhabu ya maisha gerezani)

Dekula anaamini katika kuishi vizuri na watu, kwani huwezi kujua maisha yatakupeleka wapi.

hapa najiuliza nikuache na Ngalula au nitupie clip ya YouTube ambayo anacharaza baadhi ya nyimbo zake, isiwe ishu, nakuacha na zote mbili, suala la kukumalizia MB zako mpenzi msomaji liko nje ya uwezo wangu (joke)




 
Hakuna kitu kinacholeta faraja na furaha kama kusaidia wahitaji hata kama huna kitu,kushare kidogo ulichonacho na wale ambao hawana kabisa imagine unaenda hospital kumtembelea ndugu yako amelazwa mnajikuta mko 20 mmezunguka kitanda ,lakini next bed kuna mtu kapata referal kuja muhimbili hana ndugu hebu sogea tumia muda nae,ongea nae mpe kidogo ulichonacho aaah huwezi amini utakuwa unatafuta safari a kutembelea watu wa aina hii na hutapungukiwa,nauli,cha kuwapa hata neno la kuwatia moyo .hata majumbani wapo wengi wanahitaji faraja ,kutiwa moyo,kusikilizwa pata muda wa kuwaona watu hawa wapo wengi sana Mungu atutie nguvu

Nehemia 8

10b....furaha ya BWANA ni nguvu zenu.

Haleuiya

MATENDO YA MITUME 20

35.Katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge,na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu ,jinsi alivyosema mwenyewe. Ni heri kutoa kuliko kupokea
Amen

Ahsante sana mama mchungaji kwa neno lenye kutia nguvu mioyo yetu.

Ubarikiwe sana
 
Hakuna kitu kinacholeta faraja na furaha kama kusaidia wahitaji hata kama huna kitu,kushare kidogo ulichonacho na wale ambao hawana kabisa imagine unaenda hospital kumtembelea ndugu yako amelazwa mnajikuta mko 20 mmezunguka kitanda ,lakini next bed kuna mtu kapata referal kuja muhimbili hana ndugu hebu sogea tumia muda nae,ongea nae mpe kidogo ulichonacho aaah huwezi amini utakuwa unatafuta safari a kutembelea watu wa aina hii na hutapungukiwa,nauli,cha kuwapa hata neno la kuwatia moyo .hata majumbani wapo wengi wanahitaji faraja ,kutiwa moyo,kusikilizwa pata muda wa kuwaona watu hawa wapo wengi sana Mungu atutie nguvu

Nehemia 8

10b....furaha ya BWANA ni nguvu zenu.

Haleuiya

MATENDO YA MITUME 20

35.Katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge,na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu ,jinsi alivyosema mwenyewe. Ni heri kutoa kuliko kupokea

...ni sababu pekee iliyonifanya niwe mchangia damu bila malipo hadi leo (well, huwa wanatoa soda na biskuti-natamani wangekuwa wanatoa kinywaji kwa tusiokunywa soda, basi hata chai).

Sijawahi kupungukiwa damu labda hela, na mara nyingi nina furaha sababu naamini ni tendo jema kujitolea damu, linkufanya uwe na nidhamu.
 
Ishi na watu kwa wema utafurahia muziki

Najua tumekuwa na wakti mzuri na tunapoenda kuimaliza Jumatano hii basi kama kawaida Makapuku nawakaribisha katika ka-kipengele haka ka ala za muziki na hasa tukijikita katika udonoaji na wadonoaji wa gitaa.

Kwa wapenzi wa muziki wa dansi miaka 20 nyuma, na wanaofuatilia miziki ya bakulutu, bendi ya Maquis Original ni bendi yenye umaarufu mkubwa hapa nchini ikiundwa na wanamuziki wengi toka Kongo na mmoja wao ni mpiga gitaa maarufu Dekula Kahanga almaarufu Vumbi. Mitindo kama Zembwela na Sendema haiwezi kukutoka kiurahisi.

Sikiza vibao cha Ngalula, Mayanga, Makumbele, Karubandika na vingine vingi katika mitindo ya Sendemaa na Zembwela. Gitaa utakalosikia linamuongoza muimbaji awe ni Tshimanga Assossa au Kasaloo basi ni la nguli Dekula Kahanga.

Bado yupo na anafanya muziki wake nchini Sweden akiwa na band yake ya Dekula Band.

Hapa nakuwekea baadhi ya nyimbo alizoweza kuzicharaza na kuzifanya zikavutia zaidi.

FYI: Upigaji wake mzuri umechangiwa zaidi na kufuatisha mipigo ya Nguza Viking (yupo jela sasa akitumikia adhabu ya maisha gerezani)

Dekula anaamini katika kuishi vizuri na watu, kwani huwezi kujua maisha yatakupeleka wapi.

hapa najiuliza nikuache na Ngalula au nitupie clip ya YouTube ambayo anacharaza baadhi ya nyimbo zake, isiwe ishu, nakuacha na zote mbili, suala la kukumalizia MB zako mpenzi msomaji liko nje ya uwezo wangu (joke)





Kalubandika ndio naielewa sana
 
...ni sababu pekee iliyonifanya niwe mchangia damu bila malipo hadi leo (well, huwa wanatoa soda na biskuti-natamani wangekuwa wanatoa kinywaji kwa tusiokunywa soda, basi hata chai).

Sijawahi kupungukiwa damu labda hela, na mara nyingi nina furaha sababu naamini ni tendo jema kujitolea damu, linkufanya uwe na nidhamu.
Amina,nimefurahi sana..kutoa bila sababu..bila kutegemea malipo..bila kutafuta sifa..bila kutegemea shukurani..BILA SABABU YOYOTE NDIO KUTOA KWEMA
 
...ni sababu pekee iliyonifanya niwe mchangia damu bila malipo hadi leo (well, huwa wanatoa soda na biskuti-natamani wangekuwa wanatoa kinywaji kwa tusiokunywa soda, basi hata chai).

Sijawahi kupungukiwa damu labda hela, na mara nyingi nina furaha sababu naamini ni tendo jema kujitolea damu, linkufanya uwe na nidhamu.
Ubarikiwe mkuu Jorowe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom