mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Halafu sasa usipolia ndo unakuwa mwepesi kulia mchana.... Ha ha ha ha ha.kweli ujue unaliaje sasa mtu kakukasirikia![]()
Halafu sasa usipolia ndo unakuwa mwepesi kulia mchana.... Ha ha ha ha ha.kweli ujue unaliaje sasa mtu kakukasirikia![]()
Halafu sasa usipolia ndo unakuwa mwepesi kulia mchana.... Ha ha ha ha ha.

Ana yake amelenga huyo ha ha ha ha ha ha.hahahahh
musukuma anataka kunipa kazi naanzaje kumuuliza mtu eti we mweupe ni kibonge
yeye amkubali tu kila kitu atajua mbele kwa mbele kwa atakavyokutana navyo huko
Usione aibu dada
Mi sio mnyakyusa dada mi mndaliIla ni nini unaona tunafaidi kinyakyusa unataka kutubadilishia kabila
My regards to Lee Shunie
HakikaHapo ndio Mungu alimkomesha Mwananadamu
Uwii Shunie nimechekaaa hadi huko njebwapita njia wataogopaaa i seehahahahh
musukuma anataka kunipa kazi naanzaje kumuuliza mtu eti we mweupe ni kibonge
yeye amkubali tu kila kitu atajua mbele kwa mbele kwa atakavyokutana navyo huko
Amen, nashukuru sana.Pole sana mkuu Mussolin5 naungana nawe katika kumuombea binamu mpendwa![]()
NAMUOMBA MUNGU ATUPE UVUMILIVU WA KIMAPENDO,BWANA ALITOA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIBARIKIWE NA DAIMA TUWE NA MATUMAINI,SINA NENO ZURI LA KUSEMA BALI NAOMBA TUUNGANE HAPA :
1 WATHESALONIKE 4
13.Lakini ,ndugu zangu,hatutaki msijue habari zao waliolala mauti,msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.
14.Maana ,ikiwa twaamini ya kwamba,Yesu alikufa akafufuka vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu Mungu atawaleta pamoja naye.
15. Kwakuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana ,kwamba sisi tulio hai tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana,hakika hatutawatangulia wao walioisha kulala mauti.
16. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko ,na sauti ya malaika mkuu na parapanda ya Mungu,nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.
17.Kisha sisi tulio hai tuliosalia ,tutanyakuliwa pamoja nao mawinguni,ili tumlaki Bwana hewani na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
18.Basi farijianeni kwa maneno haya.
Naomba tuamini kuwa Binamu mpendwa wetu amelala na tutaonana siku ya mwisho,nafsi yake ipokelewe na Mungu wetu![]()
"Wale tunaowapenda hawaendi milele,wanatembea pembeni yetu daima,hatuwasikii,hatuwaoni
Lakini wapo daima nasi,tunawapenda,tunawahitaji,tunawakumbuka wanadumu mioyoni mwetu....upendo wetu kwao ni ishara ya uwepo wao maana walituachia upendo"
Nitafunga kwa ajili yako ili Sakayo saa hii awe pembeni yako,tunahitaji kuona hatua nyingine,baraka nyingine utukufu kwa utukufuMuwe na usiku mwema wakuu..
Sakayo nakupenda mke wangu wa maisha

Tuntufye au Mwakipesile
Huyu anaitwa mwangomoTuntufye au Mwakipesile
Hakuna kitu kinacholeta faraja na furaha kama kusaidia wahitaji hata kama huna kitu,kushare kidogo ulichonacho na wale ambao hawana kabisa imagine unaenda hospital kumtembelea ndugu yako amelazwa mnajikuta mko 20 mmezunguka kitanda ,lakini next bed kuna mtu kapata referal kuja muhimbili hana ndugu hebu sogea tumia muda nae,ongea nae mpe kidogo ulichonacho aaah huwezi amini utakuwa unatafuta safari a kutembelea watu wa aina hii na hutapungukiwa,nauli,cha kuwapa hata neno la kuwatia moyo .hata majumbani wapo wengi wanahitaji faraja ,kutiwa moyo,kusikilizwa pata muda wa kuwaona watu hawa wapo wengi sana Mungu atutie nguvuHakika
Nehemia 8
MATENDO YA MITUME 20Nawe pia MkuuUsiku mwema
Anakula ujanaDuh!!........Mondray ana baby wengi sana:Husna Muba,Valentina,Paprika na sasa hivi Shangazi Ukhuty!!......Mondray nipe hapo mmoja please!