Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,231
- 68,262
Viongozi wengi wa Afrika wanajua kucheza vizuri na Wanajeshi.Anashinda kwa 90%+
Huyu jamaa nahisi anajua kula na Wanajeshi ndio maana hawampindui wanaishia kumuangalia tu
.
.
Km Sizonje anavyowabeba wajeda kwenye vyeti feki na pia kuwapa ulaji wa tenda
.......
Sizonje keshamuweka mtu wa kanda yake(Mabeyo)Viongozi wengi wa Afrika wanajua kucheza vizuri na Wanajeshi.
Ndio maana haishangazi kuona kila Rais anayeingia madarakani lazma achague mkuu wake wa Majeshi ambaye lazma awe rafiki yake.
Na wengine wanavuka mipaka na kuchagua ndugu zao kabisa. Mfano uko wazi kabisa.
Yuko wapi yule aliyesema Fainali Uzeeni?3/Beji Caid EssebsiHuyu ni kiongozi wa Taifa la Tunisia...amezaliwa tarehe 29 Novemba 1926
Kayapata madaraka akiwa na umri wa miaka 88 ilikuwa ni baada ya kuangushwa kwa utawala wa Ben Alli uliodumu kwa miongo kadhaa
Ana umri wa miaka 90
.............
Kabisa mkuu,mhimili mmoja umekosa Kiongozi.Sizonje keshamuweka mtu wa kanda yake(Mabeyo)
Pia hataki kuteua Jaji Mkuu
........
Acje akaibwa mweee
Tena bila kutarajia maana Ben Alli alikuwa ni mtawala wa maishaYuko wapi yule aliyesema Fainali Uzeeni?
Babu kaja kupata ngekewa uzeeni.
Kwema shemela
Yaleyale ya Gaddafi na mwanaweKabisa mkuu,mhimili mmoja umekosa Kiongozi.
Naskia hata Uganda, kuna tetesi Museveni anamuandaa mwanae Meja Jenerali Muhoozi Kainerugaba kuja kuwa Mkuu wa Majeshi.
Kwasasa ni Mshauri wa Rais kwenye mambo ya Ulinzi na Usalama.
Kabla ya hapo alihudumu katika Jeshi kama Mkuu wa Kikosi Maalum cha Ulinzi wa Rais ( Baba yake ).
They call it Africa, We call it HOME.
hahaha! kuna dogo langu home kila siku anaanguka kitandani! sijui anaotaga nini!
Shululu wangu yuko wapi?!Nimeona
Kwa hapa Africa bado sana kukataa kuongoza8/Paul Biya
Huyu ni Rais wa Cameroon ambaye amezaliwa Februari 13 mnamo mwaka 1933
Ndiye anashikiria rekodi ya Rais wa kuchaguliwa aliyepo madarakani muda mrefu zaidi wa miaka 33 yaani anashinda kila uchaguzi ukifanyika
Ana umri wa miaka 84
.............
Huwezi juahapo kwenye vikojoleo ndo kuna shinda kidogo... alikuwa anafanya zamu kwa zamu wakati wa kugegeda
Mwambie Shunie aje kwa YesuRaha,furaha,amani maisha,kuridhika,kushukuru,kupenda,kupendwa full life Here
Si uliniambia utanipa shemeji yako shululuwapi unakimbilia