Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
We binti wa mzee Joni!Happy birthday wajina wa Dadii akee shunie
We binti wa mzee Joni!Happy birthday wajina wa Dadii akee shunie
Mpaka kufikia hapo sina la ziada mpaka kesho.![]()
UF ilidhaminiwa na Mndali pamoja na Tarime 1

wapi unakimbilia
Asante mkuuPamoja mndali
Poa mkuu za hapo ulipoNiaje mkuu
Ooooh kumbe ulikua hujui ndio hiyo chura wa kunesa nesaNilikuwa nahitaji unipe jibu kuwa Hiyo ndo mnaita chura?
.....ukiona cha nini...
Ulimkafu?Mchana mwema wapendwa
yes mtto wake wa pekeeWe binti wa mzee Joni!
.....kama chai tafunia andazijamaan sio chai hii baba mchuchu

tununuUlimkafu?
hahahhhh.....kama chai tafunia andazi![]()
Njema mkuu za huko kwenye mafurikoGood afternoon Mndali
Hongera,hata babu yako my dad alikua Johnyes mtto wake wa pekee

ni.....kumbe sijaulizwa mie![]()
![]()
Eti shunie huyo nani kwani

Yeeeeeeeeeeebahhuyo anaitwa husna toka mwanzo nilimwambia akae kwa shemela shululu atulie ale maisha akawa haeleweki kaenda kwa mondray kuruka ruka naona huko yameshamshinda
anataka kurudi huku ndio haiwezekani tena tumosa tumeshakukabidhi usijal mamy shululu ni wa kwako pekee hana makando kando ana tabia kama za baby wangu halaf sijakutambulisha kwa Mr wangu ngoja akirudi nitakutambulisha

Weka pichaMm mkono wa kulia jamaan ndio nakulaje kucha sasa![]()
![]()