Makapuku Forum

Makapuku Forum

masikini binamu obe

masikini binamu obe
5da9853dff929165249760f910327121.jpg
 
Jamii forum watu sio wajinga wajinga
Kuandika kitu kwa dhumuni maalum....ndio maana kuna waanzisha thread kuhusu dawa za asili ili tu wapate wateja tena utasikia hakuna ambaye hakupona baada ya kutumia dawa...mara natibu hadi Ukimwi
Ukiingia kichwa kichwa na kuamini kila kitu utaliwa
Mfano
Hili jiwe ni madini gani?
...........
Hapo sijaelewa mkuu sijui kuumwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom