Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Georgian--Armenian War 1918
1b301ea973906c46b38efb074e0aaff3.jpg
cb24a3dd3b4b57bf1ee7025548d72e5d.jpg
Hii vita ilipiganwa mwaka 1918 ikihusisha kugombea mpaka baina ya nchi za Georgia na Armenia
Ilichukua muda wa siku 24 kisha
Iliisha baada ya kuamua kuyamaliza kwa njia za amani hivyo kuingia makubaliano maalumu
...........
safi sana
 
9/Norman Conquest 1066
b1179403607e3649e115993b7cb20f87.jpg
36fd963d70f3d6b506cb787dbebdcfb2.jpg
Hii ilitokea mnamo mwaka 1066 wakati wa karne ya 11
Ulikuwa Ni uvamizi wa England wa majeshi ya Norman.Breton na Ufaransa yakiongozwa na Duke William II wa Normandy ambaye baada ya kushinda akaanza kujiita William The Conquer
Hii vita ilipiganwa kwa muda wa siku 17
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom