Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mkuu mi sijui ndo maana nimeuliza naomba unijibuUnajua vzr sana mkuu
Mkuu mi sijui ndo maana nimeuliza naomba unijibuUnajua vzr sana mkuu
Mlinzi hewa wewe
HahahaaaNdioooo mm ujue ni mke wa lee
Sawa mkuuNitakaribia mkuu, Asante
Wataisoma namba maana hela zenyewe za kwenye bakuli zinaishia kulipa mishahara tunimecheka kwa sauti hivi wanadaiwa bill ngapi
InterestedTOP TEN
Leo tuangalie vita kumi zilizodumu kwa muda mfupi kuwahi kutokea duniani
Nitajilita zaidi kuelezea muda na sio vita kinagaubanga yaani vita nitazielezea kwa ufupi tu
Karibuni
......
Haya amini hivyoMlinzi hewa wewe
Mambo mengne yako poa tuTuachane na hayo !mambo mengine vipi?
Dada usicheke mi nataka kujua tu
Sawa Dadakabisa kaka akee
Aseeeeh rambi rambi wamekula hawa wana undugu na ......eKwanini isiwezekane
Wakati nyie rambirambi ya Mafisango mmekula
.
.
Hata tukichanga sh miamia nchi nzima inatosha na chenji inabaki
Umoja ni nguvu
.........
Kutakuwa kwa nchi ya Kenya au ruandaKufurahishana huko sio Kwa nchi hii
Pamoja mkuuTOP TEN
Leo tuangalie vita kumi zilizodumu kwa muda mfupi kuwahi kutokea duniani
Nitajilita zaidi kuelezea muda na sio vita kinagaubanga yaani vita nitazielezea kwa ufupi tu
Karibuni
......
Mmekodishiwa baridi ya iringa na njombeSasa hivi ni mwendo wa kurudi nyumbani mapemaaa haka kaubaridi sio ka mkoa huu wa Dar es salaam
Poa afande hewaHaya amini hivyo