keydu Senior Member Joined Jan 3, 2017 Posts 124 Reaction score 191 May 7, 2017 #181,861 Shunie said: Tusikimbiane jamaan Click to expand... Ndio uweke bayana wewe ni shabiki wa timu ipi hapo,ili usije kuyakataa matokeo hapo baadae
Shunie said: Tusikimbiane jamaan Click to expand... Ndio uweke bayana wewe ni shabiki wa timu ipi hapo,ili usije kuyakataa matokeo hapo baadae
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 May 7, 2017 #181,862 Mussolin5 said: Napenda sana adventure ila sio kwa shida hizo. Ndio maana nimetembea kwenye hifadhi nyingine lakini Mt Kilimanjaro nilishindwa. Click to expand... Ila mbugani ukizubaa unaliwa na Simba au kung'atwa na nyoka .......
Mussolin5 said: Napenda sana adventure ila sio kwa shida hizo. Ndio maana nimetembea kwenye hifadhi nyingine lakini Mt Kilimanjaro nilishindwa. Click to expand... Ila mbugani ukizubaa unaliwa na Simba au kung'atwa na nyoka .......
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 7, 2017 #181,863 Transcend said: Waache wamemiss vurugu zangu..! Ila mimi nipo full reloaded..wakitaka vita waje.. Click to expand... Upigane na nani
Transcend said: Waache wamemiss vurugu zangu..! Ila mimi nipo full reloaded..wakitaka vita waje.. Click to expand... Upigane na nani
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 7, 2017 #181,864 Mussolin5 said: Leo katika Historia: Niwatakie siku njema. Click to expand... Asante Mussolin kwa historia ubarikiwe
Mussolin5 said: Leo katika Historia: Niwatakie siku njema. Click to expand... Asante Mussolin kwa historia ubarikiwe
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 7, 2017 #181,865 Bitoz said: Siku hizi naona imejikita kwenye pikipiki Wamebadilika kuendana na soko ....... Click to expand... Asante Bitoz kwa picha za historia
Bitoz said: Siku hizi naona imejikita kwenye pikipiki Wamebadilika kuendana na soko ....... Click to expand... Asante Bitoz kwa picha za historia
SDG JF-Expert Member Joined Feb 28, 2017 Posts 7,631 Reaction score 8,074 May 7, 2017 #181,866 Mussolin5 said: Asante mkuu. Dunia ya tatu bado sana katika mambo mengi. Click to expand... Mwaka 2004 mitihani ya kidato cha IV inavuja tena ila serikali ikaamua KUZIBA MACHO na Masikio.
Mussolin5 said: Asante mkuu. Dunia ya tatu bado sana katika mambo mengi. Click to expand... Mwaka 2004 mitihani ya kidato cha IV inavuja tena ila serikali ikaamua KUZIBA MACHO na Masikio.
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 7, 2017 #181,867 Naishia hapa mechoka pages nyingii jamaan huko mbele sijui kumeendeleaje kwa lee wangu
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 May 7, 2017 #181,868 Shunie said: Upigane na nani Click to expand... Anyone on my way..!
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 May 7, 2017 #181,869 Shunie said: Naishia hapa mechoka pages nyingii jamaan huko mbele sijui kumeendeleaje kwa lee wangu Click to expand... Lee kaleft
Shunie said: Naishia hapa mechoka pages nyingii jamaan huko mbele sijui kumeendeleaje kwa lee wangu Click to expand... Lee kaleft
SDG JF-Expert Member Joined Feb 28, 2017 Posts 7,631 Reaction score 8,074 May 7, 2017 #181,870 2005 usiku wa UEFA,liver anachukua ubingwa mbele ya AC milan katika mazingira ya ajabu huko Uturuki na kuwaacha Waitaliano Vinywa wazi.Waliowah kulala waliacha matokeo Liva akiwa amepigwa na hakukua na matumaini ya kurudisha mabao
2005 usiku wa UEFA,liver anachukua ubingwa mbele ya AC milan katika mazingira ya ajabu huko Uturuki na kuwaacha Waitaliano Vinywa wazi.Waliowah kulala waliacha matokeo Liva akiwa amepigwa na hakukua na matumaini ya kurudisha mabao
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,232 Reaction score 68,262 May 7, 2017 #181,871 Transcend said: Kama k'njaro ulikwama usiwaze hata mt. Meru mkuu.. Ule uko too steep.. Click to expand... OK.
Transcend said: Kama k'njaro ulikwama usiwaze hata mt. Meru mkuu.. Ule uko too steep.. Click to expand... OK.
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 May 7, 2017 #181,872 Mussolin5 said: OK. Click to expand... Jaribu siku moja..! Kushindwa sio dhambi
SDG JF-Expert Member Joined Feb 28, 2017 Posts 7,631 Reaction score 8,074 May 7, 2017 #181,873 Mwaka 2007 chuo Kikuu cha Dodoma kinaanza kudahili wanafunzi wa shahada ya kwanza huku kikiwa hakijakamilika kimiundombinu
Mwaka 2007 chuo Kikuu cha Dodoma kinaanza kudahili wanafunzi wa shahada ya kwanza huku kikiwa hakijakamilika kimiundombinu
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 14,001 Reaction score 31,770 May 7, 2017 #181,874 Mondray said: Hivi ww ni mtakatifu kuliko Bikra Maria,? Mbona yy aliolewa Unapinga maagizo ya Mungu kukuumba? Click to expand... Kwani na wewe unataka kuoa
Mondray said: Hivi ww ni mtakatifu kuliko Bikra Maria,? Mbona yy aliolewa Unapinga maagizo ya Mungu kukuumba? Click to expand... Kwani na wewe unataka kuoa
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 14,001 Reaction score 31,770 May 7, 2017 #181,875 Shunie said: Khaaa binamu Click to expand... Dada mzima
SDG JF-Expert Member Joined Feb 28, 2017 Posts 7,631 Reaction score 8,074 May 7, 2017 #181,876 Mwaka 2010 SISIEM wanaweka vigezo kwa makada wake wanaoutaka Uspika kuwa ni lazima awe na MA T T. Mzee VI anakosa vigezo
Mwaka 2010 SISIEM wanaweka vigezo kwa makada wake wanaoutaka Uspika kuwa ni lazima awe na MA T T. Mzee VI anakosa vigezo
Bitoz JF-Expert Member Joined Aug 27, 2015 Posts 30,823 Reaction score 126,636 May 7, 2017 #181,877 SHIMBA YA BUYENZE said: Snoop alianza hizi mambo za kuuza na kuvuta weed tangu akiwa sekondari. Click to expand... Kiukweli nimi sio mvutaji ila nawakubali sana Snoop na Bob Marley ......
SHIMBA YA BUYENZE said: Snoop alianza hizi mambo za kuuza na kuvuta weed tangu akiwa sekondari. Click to expand... Kiukweli nimi sio mvutaji ila nawakubali sana Snoop na Bob Marley ......
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 14,001 Reaction score 31,770 May 7, 2017 #181,878 shululu said: Makao mkuu mbozi Click to expand... Ndio mkuu
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 May 7, 2017 #181,879 Shunie said: Pages ni nyingiii Click to expand... Wewe kata mbuga hivyo hivyo
Mndali ndanyelakakomu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2016 Posts 14,001 Reaction score 31,770 May 7, 2017 #181,880 Shunie said: miss u kiboko yangu mpk nakufwa baby ushajifunza hayo maandishi ya marangi mm sipendi yananiumiza macho au sijui ndio ushamba wangu bora umerudi jana usiku walikua wanakuua kwa maneno shemela shululu na tetra Click to expand... Ndo umeamua kusemelea?
Shunie said: miss u kiboko yangu mpk nakufwa baby ushajifunza hayo maandishi ya marangi mm sipendi yananiumiza macho au sijui ndio ushamba wangu bora umerudi jana usiku walikua wanakuua kwa maneno shemela shululu na tetra Click to expand... Ndo umeamua kusemelea?