Kilimanjaro siwezi kupanda kwa sababu za kiafya, isingekuwa hivyo ningeshapanda sanaMwache sasa Shululu aende na njaa kama atafika kwenye kilele
Halafu baridi lake hatari...watu wanafia huko
.......
AiseeKule mkuu ukipanda ni kwere..
Kuna sehemu kabisa unaonyeshwa hapa alikufa mtu..
Jamaa wameweka mawe na majani
Mkuu T habr yakoHahahaaa!
Unataka vita usiyoiweza Mondray
Ila EPL ndo inawabebaDSTV sio mpira tu, mfano wewe bitoz ni mwanasheria, ukiiangalia chanel kama CRIME na ID, pamoja na mambo ya historia kupitia HISTORY, utajifunza vitu vingi sana tofauti kabisa na ulivyofundishwa chuo
Khaaa binamuMsalimie sana kama ana umri wangu. Itabidi nikuchukue maelezo
Bado mkuu, ila ngorongoro, serengeti na mikumi huko nishaingia mbuganiNi utani tu
Najua ushawahi kupandisha kule juu
........
La kufa kiumbe..! Lazima uwe na jacket kama 3 na shweta ndani..Baridi lake hatari sana
.......
Binamu huyu zuhura kaimba kama vile kibao kata naona viuno binamu yanguKwa ambao mko mnakunywa bia ya serikali aka Safari lager na huku hupendi kucheza ili unapenda kuangalia wanaojimwayamwaya basi huyu hapa bibie Zuhura, maana sio kwa utamu wa kinanda huu
Amen kamandandugu zangu,
jumapili njema! kwenu kama mimi ninavyoiona njemaa!
Makao mkuu mboziNjema mkuu japo kwa sasa tuko mkoa mpya wa songwe
miss u kiboko yangu mpk nakufwawakuu salaam
ni matumaini mu wazima kabisa ...kiukweli naimis sana familiaa hii ila sitasita kuja kusalimia pidi nipatapo ka time kama leo ..
heshima kwa kapuku wote nikitaja wengine ntawasahau ila nyote wageni na wenyeji love ya kutosha
shunie mama kipenzi nakumis sana na unajua vile namis ukivuruge wako ila sala zakp zinafika haswa
bhinamu obe simu ya tachi nimeikumbuka na ile uliyoniagiza nimeileta
mkuu Mondray heshima kwako
balozi bitoz
shimba ntapata ripoti
mama mchungaji nakumis
mkuu mr T and sakayo
baba paroko
nyagei
mndali
shemela le mushenga papaa
mkuu dikteta
shululu
mzee mkavu sijui walikuteka
snipes
na wengine wote nawamis
Njoo nipo hapa kwaajili yako usipiteKapuku mpitaji Kwa leo
baby mambo ya unene etimmmmhhhhh
nashindwa kuunganisha dotii....ngoja mlinzii ajeee
miss u kiboko yangu mpk nakufwababy ushajifunza hayo maandishi ya marangimm sipendi yananiumiza macho au sijui ndio ushamba wangu
bora umerudi jana usiku walikua wanakuua kwa maneno shemela shululu na tetra
Sawasawa.Mkuu sio msimu huu tu hata zamani washawahi kufanya hivyo
Pia washawahi kuweka kwa style km ya michirizi ya jezi za Azam...pia kuweka begani kushukia kwenye nembo
Ila ile ya juu begani ndo official
.......
Mi niliishia getini MaranguKilimanjaro siwezi kupanda kwa sababu za kiafya, isingekuwa hivyo ningeshapanda sana
anakuuliza habari za porini huku anacheka jana aliongea sana kuhusu ww kuwa porinik
wemaaa mkuuu ...