Makapuku Forum

Makapuku Forum

Obe...

Niwekee zilipendwa moja hapa hebu nisukumie kilaji mimi

Unapiga kilaji gani? Maana kama unagonga safari lager inabidi nikutupie kitu toka Kenya Katitu Jazz band au Shirati Band.

Ukiwa unagonga vitu vya 'hamu' basi tumsake mlimbwende wa enzi zile Dolly.

Na kama unagonga nyagi au anything 40+ ABV basi tukae chini tutafute moja ya maana
 
Unapiga kilaji gani? Maana kama unagonga safari lager inabidi nikutupie kitu toka Kenya Katitu Jazz band au Shirati Band.

Ukiwa unagonga vitu vya 'hamu' basi tumsake mlimbwende wa enzi zile Dolly.

Na kama unagonga nyagi au anything 40+ ABV basi tukae chini tutafute moja ya maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom