Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
kheee nan kakwambia lee mwembamba lee ni kibonge mwenzanguNdio sababu lee mwembamb...
Kijana wa watu anaburn calories nyingi kukugeuza kitandani
kheee nan kakwambia lee mwembamba lee ni kibonge mwenzanguNdio sababu lee mwembamb...
Kijana wa watu anaburn calories nyingi kukugeuza kitandani
cheka taratibu wanelala mkuu
Material zingine zipo kwa ajili ya Sakayo tuu...napenda kukudownload

Kwenda zako na uongo wako..Ha hahahhaha, umenifanya nicheke sana. Jorowe hajengi ndani mwa mtu, yeye kwenye miti mjanja mjanja hivi
hapana chezea tanga kunani gusa unaseMaterial zingine zipo kwa ajili ya Sakayo tuu...
Kuna tips anatakiwa apewe sakayo tuu..
Unadhani kumhandle mtoto wa kitanga si easy eeeh?![]()
Wewe na wewe unashukula cha usa-river eeh?Mondray unaomba link ya nini kwani, afu mimi huwa nakuwa wa mwisho kuelewa haya mambo ya link link
Obe...
Niwekee zilipendwa moja hapa hebu nisukumie kilaji mimi
ah hivi nilikuwa sijui mkuucheka taratibu wanelala mkuu

Kama super gluehapana chezea tanga kunani gusa unase
Shemela huniamini
Mambo joseee
Unapiga kilaji gani? Maana kama unagonga safari lager inabidi nikutupie kitu toka Kenya Katitu Jazz band au Shirati Band.
Ukiwa unagonga vitu vya 'hamu' basi tumsake mlimbwende wa enzi zile Dolly.
Na kama unagonga nyagi au anything 40+ ABV basi tukae chini tutafute moja ya maana





acha tu shemelaKama super glue
niko poa mzeiya..ni fullu??Mambo joseee
Wewe na wewe unashukula cha usa-river eeh?
Zile nyimbo zako za 1950 huwa unatumia nini kuziweka hapa?
Kile unachokopi youtube na kupaste hapa ndio link hiyo