Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Duh...liko. Vizuri lakini lina changamotoKifupi ni mndali
Duh...liko. Vizuri lakini lina changamotoKifupi ni mndali
Karibu sanaNitatembelea huko
Hicho sio kile. Cha darasa la sabaCha mgambo tu kinatosha
Ziko tofauti sana unaweza tumia moja ya miaka kumi na tano lkini tatu za miaka mitatu kwa mboga ileile,kwa biashara naona inawasaidiaNazi zake ziko je? Tui lake je? Unaweza kuhisi tofauti yo yote (ladha, ubora, thamani...) kati ya nazi iliyochukua miaka mi3 na ile iliyochukua miaka 15?
Mkuu kama ipi huku wanapenda kuita kifupi cha ndanyela kakomu we nimekipa kifupi ambacho hupati shida kutamkaDuh...liko. Vizuri lakini lina changamoto
Ongeza kdgWengi wetu 75%
Hapo kozi ya matanshi inanihusuMkuu kama ipi huku wanapenda kuita kifupi cha ndanyela kakomu we nimekipa kifupi ambacho hupati shida kutamka
Shemela shunie sijamuona leoNitatembelea huko
Usijali mkuu utalizoea tu maana majina yetu ya kibantu hayaHapo kozi ya matanshi inanihusu
Ifike ngapiOngeza kdg
Mimi mwenyewe nilipotea kama miezi miwili hiviUnajitahidi sana kua memba active...mimi ninapotea potea hovyo
Naona Leo hata Lee sijamwonaShemela shunie sijamuona leo
Lee alikuwepo asubuhi, au Hali ya hewa inaruhusu, maana leo dar hapakuwa na jua kabisaNaona Leo hata Lee sijamwona
Walighushi vyeti au walitumia majina ya watu wengine kusoma? Kughushi vyeti ni kosa lakini kama umenunua jina la mtu mwingine (kama enzi zile kurudia darasa la 7 hairuhusiwi) halafu kwenda kusoma kweli ukasoma wewe ukahenyeka mpaka ukamaliza na maarifa ukapata kwa maoni yangu usomi wako ni halali kwa sababu uliyesoma ni wewe na siyo jina. Bashite anaandamwa kwa sababu hakusoma/hakufaulu form IV. Huyu ana kesi ya kujibu.Amen,nimeumia sana leo ila Mungu anazidi kunitia nguvu
Ahsante mama mchuchuKaribu sana
![]()
![]()
![]()
Le mukongo kamu hia
![]()
![]()
![]()
Le mukongo kamu hia
Hicho hakina umuhimu kikubwa ni mgambo pia ajue kusoma na kuandika.Hicho sio kile. Cha darasa la saba
Ngapi?Ongeza kdg