Makapuku Forum

Makapuku Forum

cb1b2e58726b1499c761cd37ebe87b6f.jpg
746e410640b930f365a0764b4d99aa3d.jpg
1265df9ad9f4973fd261fa1da216a05b.jpg
Nanasi ndio zao lao kuu la biashara?
 
1945 - Adolf Hitler na Mkewe Eva Braun wanajiua hiyo ni baada ya masaa 24 toka wafunge ndoa yao.

Kufariki Dunia kwa Hitler kunahitimisha Vita Kuu ya Pili ya Dunia kwa Ujerumani ambayo inakubali yaishe.

Ikumbukwe Hitler aliamua kujiua mara baada ya kuona rafiki yake Benito Mussolini alivyoteswa kabla ya kuuwawa hivyo hakutaka kuteseka wala kuadhirika.

Ingawa mpaka leo kuna utata ni jinsi kifo cha Hitler kilitokea, kuna wanaoamini alijipiga risasi na kuna wanaoamini alidumbukia kwenye Acid. Maiti yake haikuwahi kupatikana.
Aisee
 
jana bayern munich wameshinda kombe lao la bundesliga kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Wolfsburg 6-0.
d14b12bcce947d16858d56cb5f00d794.jpg


ni kombe lao la 13 katika miaka 20 iliyopita.

wakati huo huo dortmund kajihakikishia kishiriki uefa mwakani baada ya Hertha berlin kufungwa na Werder bremen.

kwenye mechi kati ya Dortmund vs cologne talk of the town haikua matokeo ya bila kufungana bali ilikua ni jinsi mchezaji wa zamani wa dortmund Subotic alivopokelewa na mashabiki wa Dortmund huku akipewa standings oviation baada ya mechi kuisha.

mchezaji huyo wa serbia mwenye umri wa miaka 28 amecheza dortmund toka msimu wa mwaka 2007/08 akitokea Mainz 05.
Labda RB Leipzig ataleta changamoto msimu ujao
 
...and just like that, we have a new era in the heavyweight division. After many years of stagnation and lack of enthusiasm under the Klitchiko brothers' domination, a new, young, entertaining and charismatic champion has just been crowned (Joshua). Wuhuuu...Let the new era begin. Heavyweight boxing is back baby
Oyoooooo
 
1945 - Adolf Hitler na Mkewe Eva Braun wanajiua hiyo ni baada ya masaa 24 toka wafunge ndoa yao.

Kufariki Dunia kwa Hitler kunahitimisha Vita Kuu ya Pili ya Dunia kwa Ujerumani ambayo inakubali yaishe.

Ikumbukwe Hitler aliamua kujiua mara baada ya kuona rafiki yake Benito Mussolini alivyoteswa kabla ya kuuwawa hivyo hakutaka kuteseka wala kuadhirika.

Ingawa mpaka leo kuna utata ni jinsi kifo cha Hitler kilitokea, kuna wanaoamini alijipiga risasi na kuna wanaoamini alidumbukia kwenye Acid. Maiti yake haikuwahi kupatikana.
62a5211234a035f9ad97779f78d9bcf8.jpg
326a4cca868a2d28b46c452dd6eb40c4.jpg
3273430d3e0cd6b3e705069a639af886.jpg
 
Ni kweli unachokisema ...na wengi tulitegemea ashindwe kwa point na huyu Mr iron fist ...ila uwezo wake namna ya kuanza na kumaliza michezo yake kunamsaidiaa sana
Kuanzia raundi ya 3 Kiltschko alikuwa amepasuka juu ya jicho lakini ilipofika raundi ya 6 Joshua akatupwa chini......
Kuanzia raundi ya 9 ndo akaibuka maana babu zilikata
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom