Makapuku Forum

Makapuku Forum

jana bayern munich wameshinda kombe lao la bundesliga kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Wolfsburg 6-0.
d14b12bcce947d16858d56cb5f00d794.jpg


ni kombe lao la 13 katika miaka 20 iliyopita.

wakati huo huo dortmund kajihakikishia kishiriki uefa mwakani baada ya Hertha berlin kufungwa na Werder bremen.

kwenye mechi kati ya Dortmund vs cologne talk of the town haikua matokeo ya bila kufungana bali ilikua ni jinsi mchezaji wa zamani wa dortmund Subotic alivopokelewa na mashabiki wa Dortmund huku akipewa standings oviation baada ya mechi kuisha.

mchezaji huyo wa serbia mwenye umri wa miaka 28 amecheza dortmund toka msimu wa mwaka 2007/08 akitokea Mainz 05.
Lishakuwa kuwa lao hawa majamaa
 
1945 - Adolf Hitler na Mkewe Eva Braun wanajiua hiyo ni baada ya masaa 24 toka wafunge ndoa yao.

Kufariki Dunia kwa Hitler kunahitimisha Vita Kuu ya Pili ya Dunia kwa Ujerumani ambayo inakubali yaishe.

Ikumbukwe Hitler aliamua kujiua mara baada ya kuona rafiki yake Benito Mussolini alivyoteswa kabla ya kuuwawa hivyo hakutaka kuteseka wala kuadhirika.

Ingawa mpaka leo kuna utata ni jinsi kifo cha Hitler kilitokea, kuna wanaoamini alijipiga risasi na kuna wanaoamini alidumbukia kwenye Acid. Maiti yake haikuwahi kupatikana.
 
Ipo michezo bora ila huu ni miongoni mwa hiyo michezo bora kabisa katika miaka ya karibuni katika ulimwengu wa masumbwi.......

Anthony Joshua ni mvulana anayekuwa kwa kasi na kuelekea katika uanaume, anajua namna ya kuanza pambano na anafahamu namna ya kumaliza pambano.... Wladimir Klitschko ni kama alifanikiwa kilirudisha pambano mikononi mwake na ilionekana Joshua amezidiwa ila raundi ya 11 Joshua alizinduka na kulimaliza pambano kwa KO.......

Sasa Anthony Joshua keshacheza mapambano 19 na kushinda yote 19 kwa KO. Na sasa anaendelea kuwa bingwa wa dunia wa IBF na ndiye bingwa mpya wa WBA.

Heavyweight champiooon Anthony Joshua.
Joshua hana pumzi
Ashukuru kakutana na babu
Ila yupo vizuri
.....
 
Ipo michezo bora ila huu ni miongoni mwa hiyo michezo bora kabisa katika miaka ya karibuni katika ulimwengu wa masumbwi.......

Anthony Joshua ni mvulana anayekuwa kwa kasi na kuelekea katika uanaume, anajua namna ya kuanza pambano na anafahamu namna ya kumaliza pambano.... Wladimir Klitschko ni kama alifanikiwa kilirudisha pambano mikononi mwake na ilionekana Joshua amezidiwa ila raundi ya 11 Joshua alizinduka na kulimaliza pambano kwa KO.......

Sasa Anthony Joshua keshacheza mapambano 19 na kushinda yote 19 kwa KO. Na sasa anaendelea kuwa bingwa wa dunia wa IBF na ndiye bingwa mpya wa WBA.

Heavyweight champiooon Anthony Joshua.
WBA maana yake tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom