Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Sawa mkuu katakuwepo muda wotesafiii mkuu ako kapicha kanakufaa
Sawa mkuu katakuwepo muda wotesafiii mkuu ako kapicha kanakufaa
Bora imekuwa hivyoMbao imetengeneza jeneza la Yanga
AiseeKuna utata kuhusu kifo cha huyu jamaa. Inasemekana hakuna aliyeona maiti yake (iliyoonyeshwa eti haikuwa yake) na watu wa conspiracies wanasema kuwa pengine alisepa kwenda Argentina kama maofisa wake wengi walivyofanya. Wanasema eti wanajua hata sehemu aliyoishi huko Argentina mpaka alipofariki na sasa wapo kwenye harakati za kutafuta kaburi lake.
Yote kwa yote huyu jamaa ana mengi sana ya kutufundisha kama binadamu na kwa sisi wafuasi wa falsafa za mkondo wa Existentialism huwa tunamuona kama taa ya kutuonyesha unyama na ukatili wa binadamu pamoja na tamaa (ya binadamu) isiyoisha ya kutaka siyo tu kuangamiza wengine bali hata yeye mwenyewe ikibidi. Na binadamu huyu ana tabia ya kufanya fatal mistakes, mistakes ambazo zina gharama kubwa mno katika maisha na hata kuwepo kwake. Kwa Hitler fatal mistake ilikuwa ni kupeleka mamilioni ya wanajeshi wake kwenda kuivamia Urusi - bila kujali hali ya hewa, umbali na bila kujua hasa nguvu za adui. Yote haya ni kinyume cha medani za kivita na kilichowapata Wajerumani huko Russia leo hii ni case study ya how not to conduct a war na ilikuwa ndiyo mwanzo wa kushindwa kwa Ujerumani katika WW II.
Hata wewe kuna kosa gani (na pengine la kijinga tu) ulilowahi kufanya ambalo lilikugharimu sana - kiroho, kimwili, kisaikolojia, kijamii na hata financially? Ulijifunza nini kutokana na kosa hilo?
SHIMBA...
Haaaaahaaaa duNasikia kazi hauna?
Matokeo yakojeMbao imetengeneza jeneza la Yanga
USIOGOPE/NISIOGOPE
ISAYA 43:1-3
Hakika hatupaswi kuogopa jambo lolote wala kitu chochote MAANA MUNGU YU PAMOJA NASI KUTULINDA
Jambo muhimu ni kumtii
Wakati mgumu,kukosa kazi,kuachwa,kudharauliwa,kukosa kuoa au kuolewa,kukosa watoto ,kuugua,mazingira magumu ,kuuguza isiwe sababu ya kuacha kumwabudu Mungu.
Mungu anatupenda na kamwe hatatuacha.TUSIOGOPE

Njemahabar familia???