shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Patachimbika aiseeEngland EPL
![]()
Zote ni big game leo
Patachimbika aiseeEngland EPL
![]()
Zote ni big game leo
Nawe pia mkuu ChaplinJumapili njema Makapuku
Ripoti maalumu
Pamojaaa kiongoziiiiMorning Kapuku's
Wakati tunasubiria magazeti mubashara
Tupate unbelievable fact UF
Na leo tutaangalia zaidi kwenye ubongo
Swadaktaa kabisaaaaaaKwa udhamini mnono wa bitoz nawatakieni jumapili njema
Mkuu Lee, umeamkajeSwadaktaa kabisaaaaaa
Kazi unaifanya haswaaa
Ahsante mkuu kwa magazeti mubasharaKwa udhamini mnono wa bitoz nawatakieni jumapili njema
Hatari sanaPatachimbika aisee
Avatar yako ni mjengo upi huoNawe pia mkuu Chaplin
Mkuu namshukuru aliye juu ...uchovu wa porini tuu mkuuMkuu Lee, umeamkaje
Na wewe pia kapukuJumapili njema Makapuku
Ipo michezo bora ila huu ni miongoni mwa hiyo michezo bora kabisa katika miaka ya karibuni katika ulimwengu wa masumbwi.......![]()
Raundi ya 11
klitschnko kaenda chini mara 2 akanyanyuka na kudundwa za fastafasta
![]()
Joshua kashinda KO ya raundi ya 11
Games 19
KO 19
Usiku mwema
...........
Kijanaa hatarii huyu...and just like that, we have a new era in the heavyweight division. After many years of stagnation and lack of enthusiasm under the Klitchiko brothers' domination, a new, young, entertaining and charismatic champion has just been crowned (Joshua). Wuhuuu...Let the new era begin. Heavyweight boxing is back baby![]()
Leo hatari tupuu .....England EPL
![]()
Zote ni big game leo
jana bayern munich wameshinda kombe lao la bundesliga kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Wolfsburg 6-0.Germany Bundesliga
![]()
Asante kwa magazeti.Kwa udhamini mnono wa bitoz nawatakieni jumapili njema
Ligi ambao bingwa habadiliki inaboa.....inaonesha gap kubwa kati yaojana bayern munich wameshinda kombe lao la bundesliga kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Wolfsburg 6-0.
![]()
ni kombe lao la 13 katika miaka 20 iliyopita.
wakati huo huo dortmund kajihakikishia kishiriki uefa mwakani baada ya Hertha berlin kufungwa na Werder bremen.
kwenye mechi kati ya Dortmund vs cologne talk of the town haikua matokeo ya bila kufungana bali ilikua ni jinsi mchezaji wa zamani wa dortmund Subotic alivopokelewa na mashabiki wa Dortmund huku akipewa standings oviation baada ya mechi kuisha.
mchezaji huyo wa serbia mwenye umri wa miaka 28 amecheza dortmund toka msimu wa mwaka 2007/08 akitokea Mainz 05.
Pamoja sana mkuu musoliniAsante kwa magazeti.