Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shedede nilimkurupua jana nikamshauri ahamie katika banda la mlinzi. Alikuwa amehamishia sime na rungu lake nyumba kubwa...

All in all karibu tena mkuu. I hope all is well huko ulikokuwa kwa sababu yaani watu wanakufa ile mbaya. Kila siku misiba kibao. Dunia hii hovyo kabisa!
Nasubiriaaa ripoti yake


Namshukuru Mungu ....ila bora ka nchi ketu kaendelee kuwa na vurugu tu insta ...kuna nchi watu wanatesekaa mkuu
 
d11d5e407a6d83a35aed36c365b1c57a.jpg

Hawa mbumbumbu watakuwa hawajui muda
Wanatuchanganya
Labda SAA 2 ya Malkia hivyo kwetu SAA 5 au wanamaainisha SAA 8
Hata siwaelewi tangazo limeandikwa kwa maneno "SAA MBILI USIKU"

cc SHIMBA
........
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Karibu tena mtoto wa Mao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom