Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa hisani kubwa ya Bitoz na darasa huru alilotupa ...nimefanya practical
e5c5b106b21c2f752dd19e4e5442b139.jpg



Inspector shedede naomba na wewe ripoti yakoooo tafwazwariiiiiiii...
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
karibu mkuu tuendeleze ujenzi wetu wa taifa la makapuku
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Mkuu karibu tena maana kuna usemi unasema tulipo ndipo mungu kapanga tuwe

Karibu tena mkuu
 
Uraibu wa mtandao China na hasa South Korea ni janga la kitaifa kwa sasa. Wengine mpaka wanatelekeza familia na watoto wachanga wanakufa kwa sababu mama yuko kwenye super speed cafe anacheza game na wenzake katika mashindano. Tena ukimuona aliyekolea sawa mwenye uraibu wa ngada ana unafuu: hawali, hawafui, hawaogi mpaka wengine wanakufa kwa njaa kisa gemu limenoga. Kazi kweli kweli!
 
Kwa hisani kubwa ya Bitoz na darasa huru alilotupa ...nimefanya practical
e5c5b106b21c2f752dd19e4e5442b139.jpg



Inspector shedede naomba na wewe ripoti yakoooo tafwazwariiiiiiii...
Shedede nilimkurupua jana nikamshauri ahamie katika banda la mlinzi. Alikuwa amehamishia sime na rungu lake nyumba kubwa...

All in all karibu tena mkuu. I hope all is well huko ulikokuwa kwa sababu yaani watu wanakufa ile mbaya. Kila siku misiba kibao. Dunia hii hovyo kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom