Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Kwa hisani kubwa ya Bitoz na darasa huru alilotupa ...nimefanya practical![]()
Inspector shedede naomba na wewe ripoti yakoooo tafwazwariiiiiiii...

Kwa hisani kubwa ya Bitoz na darasa huru alilotupa ...nimefanya practical![]()
Inspector shedede naomba na wewe ripoti yakoooo tafwazwariiiiiiii...

Why mlipotea same day na mmerudi the same day??? Wewe na Vale!!!Hilo ni aina gani ya swali ??
huyu joshua naona kama atadundwa hivi!![]()
Live TV1
SAA 2 USIKU
Msikose
................
NipoooooNami nakuonaaaaaaaaaaa
Niko makinii
karibu mkuu tuendeleze ujenzi wetu wa taifa la makapukuWakuu natanguliza salaam ....
Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa
Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima
Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote
Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo
Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii
Mkuu tetra ...upooo
Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....
Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima
Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa
....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Umeniuliza Mimi au ??Why mlipotea same day na mmerudi the same day??? Wewe na Vale!!!
EnaaTununu![]()
mkuu huku kwema thana!Mkuu kwema ??
Kinomaaanoomaaaaahkaribu mkuu tuendeleze ujenzi wetu wa taifa la makapuku
Mkuu karibu tena maana kuna usemi unasema tulipo ndipo mungu kapanga tuweWakuu natanguliza salaam ....
Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa
Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima
Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote
Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo
Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii
Mkuu tetra ...upooo
Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....
Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima
Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa
....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Naona mlikuwa chimbo mojaKumbe nawe hukuwepo eeh. Mwenyewe nimerudi leo
Tuko poaamkuu huku kwema thana!
sijui huko vip
Asantee kiongoziiMkuu karibu tena maana kuna usemi unasema tulipo ndipo mungu kapanga tuwe
Karibu tena mkuu
Uraibu wa mtandao China na hasa South Korea ni janga la kitaifa kwa sasa. Wengine mpaka wanatelekeza familia na watoto wachanga wanakufa kwa sababu mama yuko kwenye super speed cafe anacheza game na wenzake katika mashindano. Tena ukimuona aliyekolea sawa mwenye uraibu wa ngada ana unafuu: hawali, hawafui, hawaogi mpaka wengine wanakufa kwa njaa kisa gemu limenoga. Kazi kweli kweli!
Pamoja sana kiongoziAsantee kiongozii
sawa mkuu, kama kwenye list la magu haupo basi upo poa kweli kweliTuko poaa
Angalia Shunie asije akapata mshtuko wa moyo....Why mlipotea same day na mmerudi the same day??? Wewe na Vale!!!



Shedede nilimkurupua jana nikamshauri ahamie katika banda la mlinzi. Alikuwa amehamishia sime na rungu lake nyumba kubwa...Kwa hisani kubwa ya Bitoz na darasa huru alilotupa ...nimefanya practical![]()
Inspector shedede naomba na wewe ripoti yakoooo tafwazwariiiiiiii...