Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uraibu wa mtandao China na hasa South Korea ni janga la kitaifa kwa sasa. Wengine mpaka wanatelekeza familia na watoto wachanga wanakufa kwa sababu mama yuko kwenye super speed cafe anacheza game na wenzake katika mashindano. Tena ukimuona aliyekolea sawa mwenye uraibu wa ngada ana unafuu: hawali, hawafui, hawaogi mpaka wengine wanakufa kwa njaa kisa gemu limenoga. Kazi kweli kweli!
Duh!!! Janga lingine Duniani
 
Hapo umenena. Watu wanajipiga vifua na kujiapiza mbele ya keyboard tu lakini ukiona hali halisi ya watu waliokumbwa na machafuko ya wao kwa wao ni hatari mno. Mbaya zaidi hata hakuna anayefaidika mbali na hao ma war lords na wakubwa wao wa nje. Watoto na wanawake hasa ndiyo huteseka sana. No matter what huwa naomba sana kikombe hicho kiipite Tanzania yetu tuipendayo. Asante kwa angalizo makini mkuu.
Kweli mkuu umeongea vyema ..acha tu tuyasikie kwa wengine japo sio vizurii tubaki kutunishiana misuli kwenye keyboard na smart phone zetu ...ila kuna watu hawaijui raha ya dunia...inafika hatua unatembea na mkebe wa biscuit unashindwa umpe yupi uache yupiii...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom