Makapuku Forum

Makapuku Forum

0d78ec732d8e62e62d3d5b857833b113.jpg

Live TV1
SAA 2 USIKU
Msikose
................
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
 
0d78ec732d8e62e62d3d5b857833b113.jpg

Live TV1
SAA 2 USIKU
Msikose
................
Katii ya vitu muhimu vilivyofanya nitoroke porini ni hili pambano Kali acha zile mbwembwe za pac na mw ...rekodi za hawa majamaa ni shida na kizuri ni kama ticha na mwanafunzii..miaka 41 kwa 27 duuuuuuh ...Mr iron fist ngoja tuone kama anashushwa heshima na AJ...

Bonge la ndondiiiii
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...

Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Kumbe nawe hukuwepo eeh. Mwenyewe nimerudi leo
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...

Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Tumekumis sana Lee karibu sana naamini Mungu alikufanyia wepesi katika kila jambo.

Tumekuwa tunakuombea,tunamshukuru sana Mungu umerudi salama ,karibu kaa nasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom