Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nasubiriaaa ripoti yake


Namshukuru Mungu ....ila bora ka nchi ketu kaendelee kuwa na vurugu tu insta ...kuna nchi watu wanatesekaa mkuu
Hapo umenena. Watu wanajipiga vifua na kujiapiza mbele ya keyboard tu lakini ukiona hali halisi ya watu waliokumbwa na machafuko ya wao kwa wao ni hatari mno. Mbaya zaidi hata hakuna anayefaidika mbali na hao ma war lords na wakubwa wao wa nje. Watoto na wanawake hasa ndiyo huteseka sana. No matter what huwa naomba sana kikombe hicho kiipite Tanzania yetu tuipendayo. Asante kwa angalizo makini mkuu.
 
d11d5e407a6d83a35aed36c365b1c57a.jpg

Hawa mbumbumbu watakuwa hawajui muda
Wanatuchanganya
Labda SAA 2 ya Malkia hivyo kwetu SAA 5 au wanamaainisha SAA 8
Hata siwaelewi tangazo limeandikwa kwa maneno "SAA MBILI USIKU"

cc SHIMBA
........
Kashushu na masumbwi wapi na wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom