Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
MkuuuKama Kawa
MkuuuKama Kawa
Hapo umenena. Watu wanajipiga vifua na kujiapiza mbele ya keyboard tu lakini ukiona hali halisi ya watu waliokumbwa na machafuko ya wao kwa wao ni hatari mno. Mbaya zaidi hata hakuna anayefaidika mbali na hao ma war lords na wakubwa wao wa nje. Watoto na wanawake hasa ndiyo huteseka sana. No matter what huwa naomba sana kikombe hicho kiipite Tanzania yetu tuipendayo. Asante kwa angalizo makini mkuu.Nasubiriaaa ripoti yake
Namshukuru Mungu ....ila bora ka nchi ketu kaendelee kuwa na vurugu tu insta ...kuna nchi watu wanatesekaa mkuu
TV 1 ya waingereza lazima waonesheNasikia DSTV hawajapewa haki na Waingereza hivyo kimataifa ni SKY SPORTS
Kibongobongo ndo TV1
...........
Mkuu nashukuruuuKaribu tena mtoto wa Mao
Unaniona kwa mbali au karibu maana mmeadimika pamoja mmerudi pamoja

Mwache tuHilo ni aina gani ya swali ??
Anatengeneza ugomviUmeniuliza Mimi au ??
Tuhesabu miezi tu, tutapata majibuNaona mlikuwa chimbo moja
Ndicho kinachoenda kutokeaAngalia Shunie asije akapata mshtuko wa moyo....![]()
Shedede nilimkurupua jana nikamshauri ahamie katika banda la mlinzi. Alikuwa amehamishia sime na rungu lake nyumba kubwa...
All in all karibu tena mkuu. I hope all is well huko ulikokuwa kwa sababu yaani watu wanakufa ile mbaya. Kila siku misiba kibao. Dunia hii hovyo kabisa!

Kashushu na masumbwi wapi na wapi![]()
Hawa mbumbumbu watakuwa hawajui muda
Wanatuchanganya
Labda SAA 2 ya Malkia hivyo kwetu SAA 5 au wanamaainisha SAA 8
Hata siwaelewi tangazo limeandikwa kwa maneno "SAA MBILI USIKU"
cc SHIMBA
........
Niko poa kabisaNiko poa mkuu wewe je?
Niaje LeeMkuuu
Aisee leo sijamuona kabisa, sijui kwa kuwa umerudi, anahudumiaMkuu nashukuruuu
Shemela wako ushamuonaa??

Huyo ni mtu wa masumbwiKashushu na masumbwi wapi na wapi
Usikimbie mkuu
Mkuu nimecheka kwa sauti majibu yanatakuja tusubiriTuhesabu miezi tu, tutapata majibu
Ipo kwelikweliiiKazi ipo
Asante mkuu tumshukuru muumbaNiko poa kabisa
Mkuu mzima laknIpo kwelikweliii