Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
asante Bitoz ubarikiweNajua huyo konokono kwa muonekano wake mngetaka kumuweka sebuleni
Angemaliza familia nzima
......
asante Bitoz ubarikiweNajua huyo konokono kwa muonekano wake mngetaka kumuweka sebuleni
Angemaliza familia nzima
......
Aiseee1/Box Jellyfish![]()
![]()
![]()
Rekodi zinaonyesha mwaka 1984 pekee aliweza kuua watu 5600
Sumu yake huathiri moto, mfumo wa Neva pamoja na ngozi
Ukichelewa kuchukua hatua kwa sekunde 30 tu basi kaburi litakuhusu
Wanapatikana huko Asia na Australia
Mwisho
..........
Ndioaisee anakula mpk nyoka wenzake

siku hizi Sven bender anacheza kama CB japokua ana makosa mengi ila game ya jana alikua solid balaa.1989 - Mapacha Lars Bender wa Bayer Leverkusen na Sven Bender wa Borussia Dortmund wanazaliwa.
Ni Wajerumani ambao wote wanacheza kama viungo wakabaji katika timu zao.

Stone kawa LoafLkn anabonyeaga km mkate
Tusubiri Manchester Derby
.......

1/Box Jellyfish![]()
![]()
![]()
Rekodi zinaonyesha mwaka 1984 pekee aliweza kuua watu 5600
Sumu yake huathiri moto, mfumo wa Neva pamoja na ngozi
Ukichelewa kuchukua hatua kwa sekunde 30 tu basi kaburi litakuhusu
Wanapatikana huko Asia na Australia
Mwisho
..........
huyu NOOMA!!!.....ahsante kwa Top ten BitozPicha ya pili nikiiona nakumbuka utani wangu na shunie asubuhi..1/Box Jellyfish![]()
![]()
![]()
Rekodi zinaonyesha mwaka 1984 pekee aliweza kuua watu 5600
Sumu yake huathiri moto, mfumo wa Neva pamoja na ngozi
Ukichelewa kuchukua hatua kwa sekunde 30 tu basi kaburi litakuhusu
Wanapatikana huko Asia na Australia
Mwisho
..........


Asante mkuu1/Box Jellyfish![]()
![]()
![]()
Rekodi zinaonyesha mwaka 1984 pekee aliweza kuua watu 5600
Sumu yake huathiri moto, mfumo wa Neva pamoja na ngozi
Ukichelewa kuchukua hatua kwa sekunde 30 tu basi kaburi litakuhusu
Wanapatikana huko Asia na Australia
Mwisho
..........
Afande shedede hayupo ni niniMmh uniteke tena ili iweje
Na usawa huuNi mazuri haswaa
Nimecheka sanaAmezaliwa tarehe 13/4
Nimeituma tu sababu ya kumkubali
Leta majamboTOP TEN
Wakuu sioni sababu ya kusubiri giza liingie maana leo ratiba ngumu pia kuna Manchester Derby japo ni saa 4 usiku
Sasa leo nawaletea wanyama wenye sumu kali zaidi duniani...ikumbukwe tu hata sisimizi ni mnyama
Karibuni
........
Tupo humu, niaje mkuuWakuu humu
Hawa ni shida, hata Nyoka wanajua9/Poison dart frogAina hii ya chura huwa na ukubwa takribani inch 2 tu ila sumu yao ina uwezo wa kuua watu 10 au panya 20,000![]()
....
Mimi sikiogopi kabisakiumbe nakiogopa hiki
Hahahaaaaaaa5/Death Stalker Scorpion![]()
Achana na Scorpion mtoboa macho wa Buguruni...huyu nge ni noma
Ukipigwa tu na mkia wake utapata maumivu makali hadi kuzimia au kutojitambua kabisa{coma) na kisha utakufa...
Wanapatikana Afrika Kaskazini na Asia mashabiki..
Sumu yake ni mara 200 ya "cobra wa kawaida"
Scorpion kick goal la Mkhitaryan ni kielelezo cha shughuli ya nge
.........
Sahihi kabisa, hata Tabora wapo2/King CobraMfalme Koboko km jina lake lilivyo ndo Mfalme wa nyoka wote duniani..anapatikana huko kwenye misitu ya kwenye miinuko Kusini Magharibi mwa Asia![]()
Huweza kufikisha hadi urefu wa futi 18.5 ana tabia ya kula nyoka wenzake
Sumu yake inaua mtu kwa dk 15 tu
Anaweza kumuua tembo mkubwa kwa masaa 3 tu
Ana ewezo wa kuto sumu kumzidi Black Mamba
......
Kwa uchochezi tu hujamboKuna na Stone wa Man. City![]()