Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
1960 - Togo wapata Uhuru wao toka kwa Ufaransa.
1945 - Dikteta Benito Mussolini wa Italy anakamatwa huko Dongo mara baada ya jaribio lake la kutoroka kushindwa.
1961 - Sierra Leone yajipatia Uhuru wake toka kwa Uingereza.
Ni moja kati ya nchi zilizokuja kukabiliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe hasa katika sakata la Almasi za Damu.
1974 - Maelfu ya raia wa Marekani wanaandamana huko Washington kushinikiza Rais Richard Nixon ajiuzulu kutokana na sakata la Watergate.
Kumbe alitaka kutoloka1945 - Dikteta Benito Mussolini wa Italy anakamatwa huko Dongo mara baada ya jaribio lake la kutoroka kushindwa.
Miaka 17 baadaye wanachukua ubingwa wa mataifa ya Africa kwenye ardhi ya Gabon1993 - Ndege iliyokuwa imebeba timu ya taifa ya Zambia yaanguka huko katika pwani ya Gabon na kuua wachezaji wote pamoja na viongozi.
Walikuwa wanaelekea Senegal kucheza mechi ya kufuzu kombe la Dunia la mwaka 1994.
Chanzo cha ajali hiyo ni injini ya ndege waliyokuwa wamepanda kushindwa kufanya kazi na kuharibika. Ikimbukwe walikuwa wamepanda ndege ya jeshi.
1978 - Msaidizi wa zamani wa Rais Ricard Nixon, John D. Ehrlichman anatoka jela baada ya kutumikia kifungo cha miezi 18 kwa kosa la Watergate.
Nzuri, za weweZa asubuhi wapendwa wangu
Mie sijambo kabisaaNzuri, za wewe