Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Death Stalker Scorpion
6761c8910071e39e5f45d656a55b458b.jpg

Achana na Scorpion mtoboa macho wa Buguruni...huyu nge ni noma
Ukipigwa tu na mkia wake utapata maumivu makali hadi kuzimia au kutojitambua kabisa{coma) na kisha utakufa...
Wanapatikana Afrika Kaskazini na Asia mashabiki..
Sumu yake ni mara 200 ya "cobra wa kawaida"

Scorpion kick goal la Mkhitaryan ni kielelezo cha shughuli ya nge

.........
 
5/Death Stalker Scorpion
6761c8910071e39e5f45d656a55b458b.jpg

Achana na Scorpion mtoboa macho wa Buguruni...huyu nge ni noma
Ukipigwa tu na mkia wake utapata maumivu makali hadi kuzimia au kutojitambua kabisa{coma) na kisha utakufa...sasa fikiria akikungata je
Wanapatikana Afrika Kaskazini na Asia mashabiki..
Sumu yake ni mara 200 ya "cobra wa kawaida"

.........
Dah!!! Hatari.....Nge ninavyojua hang'ati, mkia ndio silaha yake na ndio wenye Sumu

Ready to be corrected
 
5/Death Stalker Scorpion
6761c8910071e39e5f45d656a55b458b.jpg

Achana na Scorpion mtoboa macho wa Buguruni...huyu nge ni noma
Ukipigwa tu na mkia wake utapata maumivu makali hadi kuzimia au kutojitambua kabisa{coma) na kisha utakufa...sasa fikiria akikungata je
Wanapatikana Afrika Kaskazini na Asia mashabiki..
Sumu yake ni mara 200 ya "cobra wa kawaida"

.........
Aisee
 
2/King Cobra
18522edb3db6b39585c6e163e7bb27e5.jpg
Mfalme Koboko km jina lake lilivyo ndo Mfalme wa nyoka wote duniani..anapatikana huko kwenye misitu ya kwenye miinuko Kusini Magharibi mwa Asia
Huweza kufikisha hadi urefu wa futi 18.5 ana tabia ya kula nyoka wenzake
Sumu yake inaua mtu kwa dk 15 tu
Anaweza kumuua tembo mkubwa kwa masaa 3 tu
Ana ewezo wa kuto sumu kumzidi Black Mamba
......
 
King Cobra
18522edb3db6b39585c6e163e7bb27e5.jpg
Mfalme Koboko km jina lake lilivyo ndo Mfalme wa nyoka wote duniani..anapatikana huko kwenye misitu ya kwenye miinuko Kusini Magharibi mwa Asia
Huweza kufikisha hadi urefu wa futi 18.5 ana tabia ya kula nyoka wenzake
Sumu yake inaua mtu kwa dk 15 tu
Anaweza kumuua tembo mkubwa kwa masaa 3 tu
Ana ewezo wa kuto sumu kumzidi Black Mamba
......
aisee anakula mpk nyoka wenzake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom