mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Wewe utakuwa wa kwanzahapana kwakweli hamna mtu anayefurahia kutekwa

Wewe utakuwa wa kwanzahapana kwakweli hamna mtu anayefurahia kutekwa

happy birthday to him
mm kutekwa sitaki tafuta tu anayefurahia kutekwaWewe utakuwa wa kwanza![]()
Amezaliwa tarehe 13/4happy birthday to him
Ooh si mbaya rudisha avatar yake tu ata kama wengine wanatumia ujue tulikua tumeshaizoea ileAmezaliwa tarehe 13/4
Nimeituma tu sababu ya kumkubali
tunasubili kwa hamuTOP TEN
Wakuu sioni sababu ya kusubiri giza liingie maana leo ratiba ngumu pia kuna Manchester Derby japo ni saa 4 usiku
Sasa leo nawaletea wanyama wenye sumu kali zaidi duniani...ikumbukwe tu hata sisimizi ni mnyama
Karibuni
........
kaka za wwWakuu humu
Aisee10/Puffer Fish![]()
Hili lisamaki km linavyoonekana lina sura baya na sumu yake ndo ivoivo
Wajapan wanamuita Fugu wakati Wakorea wanamwita bok uh
Ana sumu kwenye ngozi na viuongo zingine
Sumu yake inachukuu masaa 4 hadi 24 kuua mtu
........
kiumbe nakiogopa hiki8/Inland Taipan![]()
Hii ni aina ya nyoka inayupatikana Australia
Mngato wake mmoja tu una sumu ya kuweza kuua watu 100 au panya 250,000
......
Pamojatunasubili kwa hamu
Aisee
Huyo nyoka chamtoto kuna kubwa laokiumbe nakiogopa hiki
kubwa lao tenaPamoja
Huyo nyoka chamtoto kuna kubwa lao
.....