Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
ndio alipoanzia kuna network aliipata ndio ikaanza kumletea pesa mpk alipofikiaShoe shine
ndio alipoanzia kuna network aliipata ndio ikaanza kumletea pesa mpk alipofikiaShoe shine
NUKUU YA LEO
I just find myself happy with simple things. Appreciating the blessings God gave me
![]()
Huwa najikuta nina furaha kwa vitu kawaida tuu. Namshukuru Mungu kwa baraka alizonipa
Hayo maneno ya yaliwa kutamkwa na mwanamziki na mwigizaji wa kimarekani Earl Simmons kwa jina maarufu Dark in Max ( DMX) .
![]()
![]()
DMX alizaliwa 18/12/1970 jijini New York, nchini marekani.
DMX amefanya kazi nyingi kama Rappa wa Hiphop , moja wapo ni Party Up in Here, God give me a sign.
Lakini pia amecheza movie kama Last Hour, Romeo must Die, Belly na Exit wounds .
Dmx ameandika Autobiography aliyoiita E.A.R.L lakini pia amefanya series ktk kipindi cha The realite Television.
DMX ni star mwenye criminal records kubwa sana. Zikiwamo za Robbery, child supports na drug abuse.
Dmx ana watoto 15 kwa sasa hivi.
Naamini kila binadamu anatamani kuwa na furaha, Furaha ni kitu cha kipekee ambacho kila mtu anahitaji..
Muwe na FURAHA siku zote wakuu.
Chini kuna Hot song yake..hapo
Ahsante mkuu Mussolin5 kwa historia
Na pole kwa kupigwa risasi kisha kutundikwa

Atakuwa kwa maduu tofauti.....umesikia Uganda kuna Mama ana watoto 38!!!!hahahh anza ww kwanza shemela
hapana aisee watto 15 wengi sana imepita team ya mpira
Pamoja mkuuThanks T.
hapana kwakweli ili iweje watto wote hawaAtakuwa kwa maduu tofauti.....umesikia Uganda kuna Mama ana watoto 38!!!!View attachment 501718
Kujaza ulimwenguhapana kwakweli ili iweje watto wote hawa
hapana shem sio kwa style hiyoKujaza ulimwengu
Ila tumeiga style ya wazungu itakuja kutuumiza vibaya sana, siku za mbelenihapana shem sio kwa style hiyo
Mh kwa nn jaman itatuumizajeIla tumeiga style ya wazungu itakuja kutuumiza vibaya sana, siku za mbeleni
Siku hizi hatupendi Kuzaa watoto wengi, wakija wakimbizi wanazaana sana, sisi tunaangalia tu.Mh kwa nn jaman itatuumizaje
Toto Tundu!!!shida ndio kuzunguka kwa mganga
marahaba toto tundu umeamkaje

Hujui swimmerz!!!mmh waogeleaji ndio wakina nani shemela mm hata wa5 hawafiki

Hahaha...Itakuwa ni Dongobesh lazima![]()
hahahha af wewe mukongoHujui swimmerz!!!![]()
![]()
we humuoni mukongoToto Tundu!!!![]()
![]()
![]()
hahah nahisi ni maisha labda shemSiku hizi hatupendi Kuzaa watoto wengi, wakija wakimbizi wanazaana sana, sisi tunaangalia tu.
Sidhani lakinihahah nahisi ni maisha labda shem