Makapuku Forum

Makapuku Forum

1989 - Mapacha Lars Bender wa Bayer Leverkusen na Sven Bender wa Borussia Dortmund wanazaliwa.

Ni Wajerumani ambao wote wanacheza kama viungo wakabaji katika timu zao.
721dcf0375ec408eb99b226fa92e42d5.jpg
b60c4b7e1eda542ad95b44e44c49e78c.jpg

Yupi fundi
...
 
NUKUU YA LEO


I just find myself happy with simple things. Appreciating the blessings God gave me
0199ee4ec27cc60e9a33caea721d111e.jpg

Huwa najikuta nina furaha kwa vitu kawaida tuu. Namshukuru Mungu kwa baraka alizonipa


Hayo maneno ya yaliwa kutamkwa na mwanamziki na mwigizaji wa kimarekani Earl Simmons kwa jina maarufu Dark in Max ( DMX) .
fa4bc221868b418cb55fe02330853f13.jpg
04d6e8792f135de692087b32cf064aba.jpg

DMX alizaliwa 18/12/1970 jijini New York, nchini marekani.

DMX amefanya kazi nyingi kama Rappa wa Hiphop , moja wapo ni Party Up in Here, God give me a sign.

Lakini pia amecheza movie kama Last Hour, Romeo must Die, Belly na Exit wounds .

Dmx ameandika Autobiography aliyoiita E.A.R.L lakini pia amefanya series ktk kipindi cha The realite Television.

DMX ni star mwenye criminal records kubwa sana. Zikiwamo za Robbery, child supports na drug abuse.

Dmx ana watoto 15 kwa sasa hivi.

Naamini kila binadamu anatamani kuwa na furaha, Furaha ni kitu cha kipekee ambacho kila mtu anahitaji..

Muwe na FURAHA siku zote wakuu.

Chini kuna Hot song yake..hapo


Amefanana sana na King Crazy GK
 
Unazo info kuihusu hiyo kampuni?
Wakati tukiwa bado na pilikapilika za kinachoelezwa kubana matumizi, LUGUMI Enterprises iliyopewa mkataba wa kifisadi na kulipwa Tshs bilioni 34 kwa ajili ya tenda ya kuchukua alama za vidole kwenye vituo vya polisi nchini bila kufanya chochote, Tshs bilioni tano zilitumika kama mafunzo pekee. Ambapo waliopewa mafunzo hayo ni watu watano (5) huku baadhi yao wakiwa ni watendaji wakuu wa wizara ya mambo ya ndani na taasisi zake.
Aidha inadaiwa kuwa mafunzo hayo yalifanyika moja ya mataifa ya barani Ulaya huku kukiwa na ukiukwaji mkubwa wa matumizi.
Swali la kujiuliza ni kwanini hayo yafanyike huku kukiwa na ukimya kutoka serikalini?
Uchunguzi pia unabaini kuwa LUGUMI Enterprises ilipewa tenda huku ikishinikizwa kuwa na ubia na kampuni ya Infosys inayomilikiwa na waziri Charles Kitwanga pamoja na mkurugenzi mkuu mpya wa NIDA. Kwanini hayo yafanyike?
Tuelezwe kuwa Infosys na LUGUMI Enterprises waligawana asilimia ngapi kila mmoja kwenye mradi kinyume cha taratibu?
Mafunzo ya wastani wa mtu mmoja kugharamiwa Tshs bilioni moja ni ya aina gani?
Ni kwanini mkataba huo hauwasilishwi PAC kama inavyotakiwa? Nini hasa kinafichwa ufisadi ufisadi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom