Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamaa huwa wana jezi kali sana, tatizo ni rangi tu ndio kikwazo cha kuvaa uzi wao.


Mashabiki wa Simba bhana, kuna siku Kilimanjaro lager walikuwa wanazindua bia yao, nami kama kawaida nikajihudhurisha. Ili upate bia kwa bei ya kiwandani basi upige t-shirt yao ya njano. Nikaona ni ujinga kununua bia kwa bei ya soko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom