Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Tanteee tKuingia tuu humu tayari wewe ni member...
Karibu makapuku..
Tanteee tKuingia tuu humu tayari wewe ni member...
Karibu makapuku..
HahahaaaaaaaJamaa huwa wana jezi kali sana, tatizo ni rangi tu ndio kikwazo cha kuvaa uzi wao.
sitii neno hapa usije ukaniona chizi bure.aisee hii id imekufanya umekua chizi ujue
Mme wake ananikimbia kwa sababu bado hajanipa mahari!Mmh rafiki mbona unanitisha mbona mm haunitafuti hivyo kuna mda nilionana nae mmu
halaf mme wake yupo umemuona
Mlimbebesha Tani 10,wakati yeye uwezo wake ni Tani 3 tuMmh shemela eb tuyaache ya huyo mimacho kama haujui na wkt mlikua mnafurahia
Wa kuchat, pia toa like upate like
Wewe ni ke au me?

Asante Bitoz ubarikiwe
Pamoja sana.
Wakuu leo sipo vizuri hivyo ngoja nilale mapema kabisaNdaga fijo
Duma![]()
Ndio mnyama wa ardhini mwenye kasi zaidi duniani anapatikani barani Afrika
Tufanye utalii wa ndani tukajionee kwa macho
Ahsanteni kwa kuwa pamoja nani
Mwisho
.............

usiku mwema mkuuWakuu leo sipo vizuri hivyo ngoja nilale mapema kabisa
Tukutane kesho
.........
santee shemela wanguPole sana shemela
haahahhasitii neno hapa usije ukaniona chizi bure.
by the way machizi wanajuana wenyewe
ndukiiii
mahari tumekula wenyeweMme wake ananikimbia kwa sababu bado hajanipa mahari!
ahhhaha usinikumbushe ujueMlimbebesha Tani 10,wakati yeye uwezo wake ni Tani 3 tu
nasikia una bonga vibaya vepe umepona??haahahha
Mghoshi
pole sana ulale unonoWakuu leo sipo vizuri hivyo ngoja nilale mapema kabisa
Tukutane kesho
.........
ndio umemaanishaje haponasikia una bonga vibaya vepe umepona??
Poa, usiku mwema JohWakuu leo sipo vizuri hivyo ngoja nilale mapema kabisa
Tukutane kesho
.........