Makapuku Forum

Makapuku Forum

maxresdefault.jpg

Oktoba 20, 2014, TAREHE KATIKA HISTORIA
Miaka 62 iliyopita muwafaka na leo, Jomo Kenyatta mwanaharakati, mwanasiasa na mpigania uhuru mashuhuri barani Afrika na Rais wa Kwanza wa Kenya alitiwa mbaroni kufuatia amri ya utawala wa kikoloni nchini Kenya. Mzee Kenyatta alikuwa miongoni mwa watu 100 mashuhuri nchini humo waliotiwa mbaroni katika kipindi cha masaa 24 ikiwa ni katika fremu ya mpango wa kuibana Mau Mau, kundi la wapiganaji wa Kenya waliokuwa wakiupinga utawala wa kikoloni wa Waingereza. Siku hii inajulikana nchini humo kuwa Siku ya Mashujaa.
Nashukuru sana Mamndenyi

Ila bado tarehe 20 October kufikia
 
maxresdefault.jpg

Oktoba 20, 2014, TAREHE KATIKA HISTORIA
Miaka 62 iliyopita muwafaka na leo, Jomo Kenyatta mwanaharakati, mwanasiasa na mpigania uhuru mashuhuri barani Afrika na Rais wa Kwanza wa Kenya alitiwa mbaroni kufuatia amri ya utawala wa kikoloni nchini Kenya. Mzee Kenyatta alikuwa miongoni mwa watu 100 mashuhuri nchini humo waliotiwa mbaroni katika kipindi cha masaa 24 ikiwa ni katika fremu ya mpango wa kuibana Mau Mau, kundi la wapiganaji wa Kenya waliokuwa wakiupinga utawala wa kikoloni wa Waingereza. Siku hii inajulikana nchini humo kuwa Siku ya Mashujaa.
Hongera mashujaa
 
maxresdefault.jpg

Oktoba 20, 2014, TAREHE KATIKA HISTORIA
Miaka 62 iliyopita muwafaka na leo, Jomo Kenyatta mwanaharakati, mwanasiasa na mpigania uhuru mashuhuri barani Afrika na Rais wa Kwanza wa Kenya alitiwa mbaroni kufuatia amri ya utawala wa kikoloni nchini Kenya. Mzee Kenyatta alikuwa miongoni mwa watu 100 mashuhuri nchini humo waliotiwa mbaroni katika kipindi cha masaa 24 ikiwa ni katika fremu ya mpango wa kuibana Mau Mau, kundi la wapiganaji wa Kenya waliokuwa wakiupinga utawala wa kikoloni wa Waingereza. Siku hii inajulikana nchini humo kuwa Siku ya Mashujaa.
Mamndenyi ubarikiwe karibu
 
KUHUSU TRENI YA GWAJIMA
e0419d05d85209fa65b4e05200bf0c96.jpg

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ana mpango wa kununua treni ya umeme.
Gwajima ameyasema hayo wakati ibada ya Jumapili katika kanisa lake lililopo Ubungo.
"Nilipata maono wakati wa uzinduzi wa helicopta yangu kwa hiyo najua nitanunua kwa pesa yangu mwenyewe," alisema
Mchungaji huyo maarufu alisema atanunua treni hiyo kwa bei ya Sh11bilioni.
Ana mawe!!!
 
NUKUU YA LEO

We can not hope to solve our problems by pretending they do not exist
966f950e8ff68462a82ef1fbca69270a.jpg


Hatuwezi kutatua matatizo yrtu kwa kujidanganya hayapo
a89d77d379e0da3a1dc3c9470ed6981e.jpg

Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Baba wa Taifa la Tanzania Hayati Mwalimu Julius kambarage Nyerere aliezaliwa 13/04/1922 huko Butiama, mkoani Mara nchini Tanganyika.

Mwalimu Nyerere alifariki tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.
5d3f8b6baa18c59e16813e53efaf2d33.jpg

Nyerere anakumbukwa kwa mengi Hapa Tanzania, Africa na Dunia nzima kwa simamia haki na usawa kwa watu wote..

Hayo maneno alitamka akimaanisha kukubali kuwepo kwa changamoto/matatizo ndio njia ya kuyatafutua ufumbuzi na jamaa inajua kuwa kuna changamoto kadha wa kadha za kutatuliwa.


Hili liko tofauti na Uongozi wa sasa hivi..Uongozi wa Tanzania baada ya miaka 50.

☞Sasa hivi kuna Hali ya njaa kwa wananchi ila viongozi wanadai Hakuna njaa nchini

☞Sasa hivi kuna upungufu wa Dawa hospitalini lakini Viongozi wetu wanadai kuna dawa za kutosha

☞ sasa hivi kuna changamoto ya Nishati hasa umeme na gesi ila utasikia tuna umeme wa kuuza kwa nchi jirani.


Taifa linahitaji uwazi na uwajibikaji wa kila mwananchi ili tuweze kufikia malengo yetu.


Mungu Ibariki Afrika,

Mungu Ibariki Tanzania.


Mchana mwema.
 
KUHUSU TRENI YA GWAJIMA
e0419d05d85209fa65b4e05200bf0c96.jpg

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ana mpango wa kununua treni ya umeme.
Gwajima ameyasema hayo wakati ibada ya Jumapili katika kanisa lake lililopo Ubungo.
"Nilipata maono wakati wa uzinduzi wa helicopta yangu kwa hiyo najua nitanunua kwa pesa yangu mwenyewe," alisema
Mchungaji huyo maarufu alisema atanunua treni hiyo kwa bei ya Sh11bilioni.
Seeing the invisible.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom