Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wanasema mjini chuo kikuu sema wakuja wanajikuta wameingizwa choo kikuu ha ha haa.. nauza spoke za bike mkuu, wacha niweke kabisa katangazo maana sitapata air time mahali pengine!
wanapeleka wapi we niambie ninazo pesa mbov kibao kama una dola mia mbov wao wananunua sh ngapi?
 
Ndugu mshana nimegundua vichwa vingi vimelala huku 'Makapuku' I mean huku ndo kuna vichwa hasa so hakuna tena haja ya kuweka jam Google kila jibu tunalipata huku! Eti nasikia kuanzia mwaka ujao wa fedha ukienda guest dai risiti,ukiona jirani yako kafanya sherehe muulize kama amelipa V.A.T 18%? Ukimlipa baba mkwe mahari dai risiti!
Hahhahahaaaa hata kwa dada poa pia daily risiti
 
Tetemeko: Yanga uso kwa uso na Wareno (esperanca) wa Angolaa, viongozi watoa shutuma kwa viongozi wa CAF, Muro anena mazito ..

Timu ya Dar young Africa imejikuta katika wakati mgumu baada ya kupangiwa na vigogo wa Angola ( Esperanca), Hatua hii imekuja baada ya wanajangwani kutoka kupasuliwa na Nacional Al Ahly ya misri kwa goli 3 - 2.

Wanajangwani wanalaumu kwa kupangiwa na timu za ukanda wa Kaskazini & Magharibi mwa Africa Kwani wanaamini ni sawa na kukomolewa, mmoja wa wanazi wa Yanga alikuwa na haya yakusema " Mimi naona hatundewi haki kwani wenzetu wale wamepiga hatua na wana uwezo zaidi, pale Angola wachezaji wengi wana kaliba ya Ureno na uwezo wa ureno nadhani unaujua, alimaliza"

Naye msemaji mwenye mbwembwe za kutisha alikuwa na machache ya kusema "Caf hawana nia nzuri na ukanda wa Mashariki, haiingii akilini unatoka Misri alafu unatupwa Angola huo ni uonevu,. lakini tunamwachia Mungu aamue yeye"
 
wanapeleka wapi we niambie ninazo pesa mbov kibao kama una dola mia mbov wao wananunua sh ngapi?

Biashara ni makubaliano kati ya mteja na mwenye biashara so mnakubaliana tu ila muhimu kwa kila dola unayouza usisahau kumpa risiti mnunuzi na kodi ya Magu iwepo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom