Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Hapana, mi nilimkataa mbona?? Nimemwambia labda ajaribu kuja na id mpya ndo atupe nyavu.si wewe hapo bana..Unamuomba abadil jina..am just trying..HOw does it sound wifi
Ila kumkubali atasubiri sanaaaaaa
umeona amekubali, sawa na mtu kusema ukiacha kuvaa shati hili ntakubali niwe wako, c nanunua lingine?