Makapuku Forum

Makapuku Forum

188b3618e0718414895ea92aafb7c6c4.jpg

Draw kombe la CAF
Yanga v Sagrada

............
 
Shemeji yangu..Pole na kuumwa ila nashukuru kwani unaonyesha kila dalili kuwa sasa upo fit...Unajua Shem najiuliza jinsi mtumish jambilo alivyokuwa amesimama kiimani ni wapi hapo walianza peana limbwata na Jimena na si unaona Patience123 haonekani yaani yeye ni kufunga na kuomba tu..
Nyie ndo mnaompa kichwa, Hakuna cha limbwata wala nini aende tu kwa Patience123
 
Tumekufa kiume mara sijui nini kufakufa tu yaani unataka kunianbia aliekufa kwa maleria aonekane mzembe ila aliekufa kwa ukimwi anekane shujaa mashabiki wa yanga acheni hizo
 
Hahhahahaaaa hata kwa dada poa pia daily risiti

Yap maana kwa mujibu wa H.E ni kwamba sehemu ya kodi hiyo itatumika kuwatengenezea miundombinu yao Sinza,Corne Bar, na kufyeka pale mwisho wa Nyodo Kinondoni ili kuwatengenezea mazingira bora ya kazi na sehemu iliyobaki inapelekwa sirikalini kwenda kununua magazeti...nooo! Madawati I mean!
 
ndo nauliza kwan ukijakuitwa mama jambilo italeta ukakas ama?
Kumbe we hukuanzia mwanzo. Jambilo ni wa Patience123 haijalishi anajitoa ufahamu kiasi gani kwangu namuhesabu kama baba Mchungaji na mume halali wa patience123 sasa kilichounganishwa na Manuu mtu na asijajiribu kukitenganisha ndomana namsisitiza kuwa hawezi kufanikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom