Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mtumish kwa hili wacha niendelee kuungana na shemeji yangu Patience123 ila kama akitoa kibali kwa roho safi ni sawa maana still naona kibarua pevu kwa Jimena
Jimena ndo mpango mzima kwa sasa japo anataka nibatizwe ipya ati aogopa jina langu, si aniite MAHABUBA yaishe?
 
Wabadili zote lakini isiwe castle milk...nitaandamana na wana mpaka TBL
Ndugu mshana nimegundua vichwa vingi vimelala huku 'Makapuku' I mean huku ndo kuna vichwa hasa so hakuna tena haja ya kuweka jam Google kila jibu tunalipata huku! Eti nasikia kuanzia mwaka ujao wa fedha ukienda guest dai risiti,ukiona jirani yako kafanya sherehe muulize kama amelipa V.A.T 18%? Ukimlipa baba mkwe mahari dai risiti!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom