Makapuku Forum

Makapuku Forum

msimseme bure.Labda kala limbwata kwa jimena..
Jimena fungka umemlisha nn baba mchungaji????analiaibisha kanisa
Shemeji yangu..Pole na kuumwa ila nashukuru kwani unaonyesha kila dalili kuwa sasa upo fit...Unajua Shem najiuliza jinsi mtumish jambilo alivyokuwa amesimama kiimani ni wapi hapo walianza peana limbwata na Jimena na si unaona Patience123 haonekani yaani yeye ni kufunga na kuomba tu..
 
Ndugu mshana nimegundua vichwa vingi vimelala huku 'Makapuku' I mean huku ndo kuna vichwa hasa so hakuna tena haja ya kuweka jam Google kila jibu tunalipata huku! Eti nasikia kuanzia mwaka ujao wa fedha ukienda guest dai risiti,ukiona jirani yako kafanya sherehe muulize kama amelipa V.A.T 18%? Ukimlipa baba mkwe mahari dai risiti!
Hahahaaa...!!!
 
Shemeji yangu..Pole na kuumwa ila nashukuru kwani unaonyesha kila dalili kuwa sasa upo fit...Unajua Shem najiuliza jinsi mtumish jambilo alivyokuwa amesimama kiimani ni wapi hapo walianza peana limbwata na Jimena na si unaona Patience123 haonekani yaani yeye ni kufunga na kuomba tu..
asante shem...Ila hivi huyu baba mchungaj ana mke eenh?
 
Tutaona,maana mnaringa sana.
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom