Makapuku Forum

Hapo sawa mkuu japo bado wanachangamoto katika maeneo mengi kwa sasa hata beki ya kati hawana mbadala wa Ramos na pepe wote wakiwa majeruhi wanapata shida sana
Ana bahati sana next game ni LaLiga ingekuwa ni UEFA sijui tungesemaje
Atasubiri sana Wenger
 
Asante sana Mkuu Bitoz nimejifunza mengi leo,vipi lile lake ngozi kule Tukuyu halipo kwenye records nasikia kuna wageni walijribu kupima kina wakapotea sina details sanaa

Hilo Ziwa ni crater lake yaani lipo juu ya Mlima halafu hakuna mto unaoelekea wala kutokea huko
Lina tope sana ndo sababu kulihusisha na ushirikina kudai linameza watu wakati siyo kweli bali inatokana na kutokuwa na fukwe/beach hivyo ukiingiza tu mguu ni balaa
Rekodi yake pekee ninayoijua ni kwamba ni Crater Lake maarufu Tanzania
......
 
Inapendeza sana

Huo mchanga mkubwa hata Z. Victoria upo baadhi ya sehemu hata kule kijijini kwa Babu niliuona

Ahsante mkuu
 
Hongera kwa utalii wa ndani mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…