Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hilo Ziwa ni crater lake yaani lipo juu ya Mlima halafu hakuna mto unaoelekea wala kutokea huko
Lina tope sana ndo sababu kulihusisha na ushirikina kudai linameza watu wakati siyo kweli bali inatokana na kutokuwa na fukwe/beach hivyo ukiingiza tu mguu ni balaa
Rekodi yake pekee ninayoijua ni kwamba ni Crater Lake maarufu Tanzania
......
samahani mkuu naomba nikurekebishe kidogo kwenye hilo ziwa, hilo ziwa halipo juu ya mlima ila ukitaka kufika ni lazima upande milima kama miwili hivi, then ukifika juu ya mlima ndio unaliona kwa chini, ukitaka kufika ni lazima ushuke tena unakua kama unashuka mlima,

ni kama vile limezungukwa na mlima na hakuna njia ya kufika bila kupanda milima, lina ramani ya afrika na kamsitu katikati, usiombe uende kipindi cha mvua utajuuta, nishawahi fika huko
 
Yah ni kweli mkuu, ndio maana wakiwekwa na timu zingine toka ligi tofauti hawafiki popote
Hapana,kumbuka EPL hawapumziki, pia timu za EPL zinauwezo wa kusajili na kulipa mishahara wachezaji, kwa sababu ya gawio la EPL la haki ya matangazo, timu nyingi sana zinawekeza EPL zaidi sababu ya kipato, kitu ambacho Spain, German na Italian hakipo
 
9debcbf2b41d1d195b12ce62f081f26a.jpg

Hilo Ziwa ni crater lake yaani lipo juu ya Mlima halafu hakuna mto unaoelekea wala kutokea huko
Lina tope sana ndo sababu kulihusisha na ushirikina kudai linameza watu wakati siyo kweli bali inatokana na kutokuwa na fukwe/beach hivyo ukiingiza tu mguu ni balaa
Rekodi yake pekee ninayoijua ni kwamba ni Crater Lake maarufu Tanzania
......
Asante kwa madini
 
samahani mkuu naomba nikurekebishe kidogo kwenye hilo ziwa, hilo ziwa halipo juu ya mlima ila ukitaka kufika ni lazima upande milima kama miwili hivi, then ukifika juu ya mlima ndio unaliona kwa chini, ukitaka kufika ni lazima ushuke tena unakua kama unashuka mlima,

ni kama vile limezungukwa na mlima na hakuna njia ya kufika bila kupanda milima, lina ramani ya afrika na kamsitu katikati, usiombe uende kipindi cha mvua utajuuta, nishawahi fika huko
Upo sahihi mkuu
Tena kulifikia ni shughuli
Shukrani
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom