Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Lake Matano
f2e910e9e2517ed201f46086bf90fd5c.jpg

Linajulikana pia km Ziwa Matana
Linapatikana huko nchini Indonrsia
Lina kinschenye urefu wa mita 590
.......
Zuri!!!
 
6/Lake Malawi
cdb30637b804ae07d530343c4dd431d5.jpg

Linazitenganisha Tanzania na Malawi huko Kyela Mbeya
Ukiwa upande wa Tanzania linaitwa Ziwa Nyasa halafu ukiwa Malawi linaitwa Ziwa Malawi
Ndio ziwa lenye samaki wa aina nyingi kuliko yote duniani...sasa usishangae kwanini linagombewa!!!
Nimebahatika kufika Ngonga na Matema Beach na kugundua lina mchanga wa punje kubwakubwa ambao unaunguza wakati wa juakali
Safu za Milima ya Livingstone zinaanzia/ishia huko
Lina kina cha mita 706

Umewahi kula usipa?
Wanapatikana huko...kwanini Wanyaki wasinenepe
........
Samaki wake ni watamu sana,nakumbuka mbasa toka lake Nyasa kama sijakosea nawapenda sana
 
6/Lake Malawi
cdb30637b804ae07d530343c4dd431d5.jpg

Linazitenganisha Tanzania na Malawi huko Kyela Mbeya
Ukiwa upande wa Tanzania linaitwa Ziwa Nyasa halafu ukiwa Malawi linaitwa Ziwa Malawi
Ndio ziwa lenye samaki wa aina nyingi kuliko yote duniani...sasa usishangae kwanini linagombewa!!!
Nimebahatika kufika Ngonga na Matema Beach na kugundua lina mchanga wa punje kubwakubwa ambao unaunguza wakati wa juakali
Safu za Milima ya Livingstone zinaanzia/ishia huko
Lina kina cha mita 706

Umewahi kula usipa?
Wanapatikana huko...kwanini Wanyaki wasinenepe
........
I wish nifike huko one day
 
2/Lake Tanganyika
7b80c3f474491973c3670094d22ba935.jpg
55ffdf8ed60fcfd23dfcb22772160b69.jpg
9ae1e0222c1dcb876ba0ed9abd8448ac.jpg

(picha nimezipiga mwenyewe wakati nikiwa Kigoma)

Ndio ziwa lenye kina kirefu zaidi barani Afrika
Kwa sehwmu kubwa linatenganisha nchi za DRC na Tanzania
Nafikiri kila mtu kawahi kula dagaa wa Kigoma
Lina mchanga laini
Lina kina cha mita 1470
........
Hongera picha zinamuonekano mzuri sanasana kazi yako ni njema,

Napenda sana dagaa watoke popote nawala naenjoy sana
 
1/Lake Baikal
4b9dffdd40df29ff8be1cc803ce4502c.jpg

Ndio pia ziwa kubwa zaidi la majibaridi duniani
Linapatikaba huko milimani Urusi katika jimbo la Siberia karibu na mpaka wa Mongolia
Lina kina cha mita 1642

Ahsanteni kwa nami
Mwisho
...........
Asante sana Mkuu Bitoz nimejifunza mengi leo,vipi lile lake ngozi kule Tukuyu halipo kwenye records nasikia kuna wageni walijribu kupima kina wakapotea sina details sanaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom