Makapuku Forum

Makapuku Forum

f88abdd6d323133e7b339cbcd224c4d0.jpg

Neno kubwa la faraja
....
Sure
 
Wenger tena!

Kwani msimu ule anacheza mechi 49 bila ya kafungwa aliweza nini na sasa anashindwa nini?
kipindi ambacho arsenal anafanya invisible ilikua mwaka 2004 kipindi ambacho ligi ya uingereza ilikua on fire balaa, hakuna timu yyte ilikua inaombea ikutane na timu toka uingereza, baada ya hapo ndio wakaibuka wafanya biashara na kuanza kumwaga pesa hovyo hovyo na hapo ndio kikaanzia kifo cha ligi ya uingereza,

kitu kinachommaliza wenger ni kutokusoma alama za nyakati, zile enzi za wachezaji kucheza kwajili ya jezi na nembo za timu hakipo tena, wanachowaza wao ni hela tu, lakini bado wenger ana amini kuwa kuna akina viera, Bergkamp katika soka la sasa na bado ana amini ipo siku atawapata, hataki kubadilika kulingana na mazingira
 
Katika sehemu ninazo ogopa ni kitonga na njia ya kwenda songea kuna sehemu inaitwa lukumbulu sijui kama nimepatia jina lake
Sahihi Lukumbulu miaka ya nyuma kuna mhindi alimuua mke ili apate bima akaweka mwili ktk gari akasukumiza kule korongoni alikua amemuwekea bima ya maisha,baadae hila zake zilijulikana
 
kipindi ambacho arsenal anafanya invisible ilikua mwaka 2004 kipindi ambacho ligi ya uingereza ilikua on fire balaa, hakuna timu yyte ilikua inaombea ikutane na timu toka uingereza, baada ya hapo ndio wakaibuka wafanya biashara na kuanza kumwaga pesa hovyo hovyo na hapo ndio kikaanzia kifo cha ligi ya uingereza,

kitu kinachommaliza wenger ni kutokusoma alama za nyakati, zile enzi za wachezaji kucheza kwajili ya jezi na nembo za timu hakipo tena, wanachowaza wao ni hela tu, lakini bado wenger ana amini kuwa kuna akina viera, Bergkamp katika soka la sasa na bado ana amini ipo siku atawapata, hataki kubadilika kulingana na mazingira
Kweli mkuu
 
kipindi ambacho arsenal anafanya invisible ilikua mwaka 2004 kipindi ambacho ligi ya uingereza ilikua on fire balaa, hakuna timu yyte ilikua inaombea ikutane na timu toka uingereza, baada ya hapo ndio wakaibuka wafanya biashara na kuanza kumwaga pesa hovyo hovyo na hapo ndio kikaanzia kifo cha ligi ya uingereza,

kitu kinachommaliza wenger ni kutokusoma alama za nyakati, zile enzi za wachezaji kucheza kwajili ya jezi na nembo za timu hakipo tena, wanachowaza wao ni hela tu, lakini bado wenger ana amini kuwa kuna akina viera, Bergkamp katika soka la sasa na bado ana amini ipo siku atawapata, hataki kubadilika kulingana na mazingira
Sanchez na Ozil wanapoteza muda tu pale japo wapo fainali FA lakini babu Wenger atafanya upuuzi wake km kawa na vitoto chake na TO 4 kuingia kazi wanayo na wanaweza shika # 4 na wasicheze Champions League iwapo Man Utd atachukua Europa
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom