Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapo sawa mkuu japo bado wanachangamoto katika maeneo mengi kwa sasa hata beki ya kati hawana mbadala wa Ramos na pepe wote wakiwa majeruhi wanapata shida sana
Ana bahati sana next game ni LaLiga ingekuwa ni UEFA sijui tungesemaje
kipindi ambacho arsenal anafanya invisible ilikua mwaka 2004 kipindi ambacho ligi ya uingereza ilikua on fire balaa, hakuna timu yyte ilikua inaombea ikutane na timu toka uingereza, baada ya hapo ndio wakaibuka wafanya biashara na kuanza kumwaga pesa hovyo hovyo na hapo ndio kikaanzia kifo cha ligi ya uingereza,

kitu kinachommaliza wenger ni kutokusoma alama za nyakati, zile enzi za wachezaji kucheza kwajili ya jezi na nembo za timu hakipo tena, wanachowaza wao ni hela tu, lakini bado wenger ana amini kuwa kuna akina viera, Bergkamp katika soka la sasa na bado ana amini ipo siku atawapata, hataki kubadilika kulingana na mazingira
Atasubiri sana Wenger
 
9/Crater Lake
e941219207a07d5784300fbb33a1d147.jpg

Linapatikana huko Marekani katikajimbo la Oregon.ambako linajulikana km National Crater Lake
Halina mto unaomwaga maji kutokea huko wala kuelekea huko
Miaka mingi iliyopita lilikuwa linalipuka volkano
Lina kina cha mita 592
......
Inavutia
 
Asante sana Mkuu Bitoz nimejifunza mengi leo,vipi lile lake ngozi kule Tukuyu halipo kwenye records nasikia kuna wageni walijribu kupima kina wakapotea sina details sanaa
9debcbf2b41d1d195b12ce62f081f26a.jpg

Hilo Ziwa ni crater lake yaani lipo juu ya Mlima halafu hakuna mto unaoelekea wala kutokea huko
Lina tope sana ndo sababu kulihusisha na ushirikina kudai linameza watu wakati siyo kweli bali inatokana na kutokuwa na fukwe/beach hivyo ukiingiza tu mguu ni balaa
Rekodi yake pekee ninayoijua ni kwamba ni Crater Lake maarufu Tanzania
......
 
6/Lake Malawi
cdb30637b804ae07d530343c4dd431d5.jpg

Linazitenganisha Tanzania na Malawi huko Kyela Mbeya
Ukiwa upande wa Tanzania linaitwa Ziwa Nyasa halafu ukiwa Malawi linaitwa Ziwa Malawi
Ndio ziwa lenye samaki wa aina nyingi kuliko yote duniani...sasa usishangae kwanini linagombewa!!!
Nimebahatika kufika Ngonga na Matema Beach na kugundua lina mchanga wa punje kubwakubwa ambao unaunguza wakati wa juakali
Safu za Milima ya Livingstone zinaanzia/ishia huko
Lina kina cha mita 706

Umewahi kula usipa?
Wanapatikana huko...kwanini Wanyaki wasinenepe
........
Inapendeza sana

Huo mchanga mkubwa hata Z. Victoria upo baadhi ya sehemu hata kule kijijini kwa Babu niliuona

Ahsante mkuu
 
2/Lake Tanganyika
7b80c3f474491973c3670094d22ba935.jpg
55ffdf8ed60fcfd23dfcb22772160b69.jpg
9ae1e0222c1dcb876ba0ed9abd8448ac.jpg

(picha nimezipiga mwenyewe wakati nikiwa Kigoma)

Ndio ziwa lenye kina kirefu zaidi barani Afrika
Kwa sehwmu kubwa linatenganisha nchi za DRC na Tanzania
Nafikiri kila mtu kawahi kula dagaa wa Kigoma
Lina mchanga laini
Lina kina cha mita 1470
........
Hongera kwa utalii wa ndani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom