Makapuku Forum

Makapuku Forum

samahani mkuu naomba nikurekebishe kidogo kwenye hilo ziwa, hilo ziwa halipo juu ya mlima ila ukitaka kufika ni lazima upande milima kama miwili hivi, then ukifika juu ya mlima ndio unaliona kwa chini, ukitaka kufika ni lazima ushuke tena unakua kama unashuka mlima,

ni kama vile limezungukwa na mlima na hakuna njia ya kufika bila kupanda milima, lina ramani ya afrika na kamsitu katikati, usiombe uende kipindi cha mvua utajuuta, nishawahi fika huko
Kwanini wakati wa mvua halifai?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom