Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Lake Tanganyika
7b80c3f474491973c3670094d22ba935.jpg
55ffdf8ed60fcfd23dfcb22772160b69.jpg
9ae1e0222c1dcb876ba0ed9abd8448ac.jpg

(picha nimezipiga mwenyewe wakati nikiwa Kigoma)

Ndio ziwa lenye kina kirefu zaidi barani Afrika
Kwa sehwmu kubwa linatenganisha nchi za DRC na Tanzania
Nafikiri kila mtu kawahi kula dagaa wa Kigoma
Lina mchanga laini
Lina kina cha mita 1470
........
Dagaa wa kigoma watamujee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom