Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Dagaa wa kigoma watamujee2/Lake Tanganyika![]()
![]()
![]()
(picha nimezipiga mwenyewe wakati nikiwa Kigoma)
Ndio ziwa lenye kina kirefu zaidi barani Afrika
Kwa sehwmu kubwa linatenganisha nchi za DRC na Tanzania
Nafikiri kila mtu kawahi kula dagaa wa Kigoma
Lina mchanga laini
Lina kina cha mita 1470
........


