Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Lake Malawi
cdb30637b804ae07d530343c4dd431d5.jpg

Linazitenganisha Tanzania na Malawi huko Kyela Mbeya
Ukiwa upande wa Tanzania linaitwa Ziwa Nyasa halafu ukiwa Malawi linaitwa Ziwa Malawi
Ndio ziwa lenye samaki wa aina nyingi kuliko yote duniani...sasa usishangae kwanini linagombewa!!!
Nimebahatika kufika Ngonga na Matema Beach na kugundua lina mchanga wa punje kubwakubwa ambao unaunguza wakati wa juakali
Safu za Milima ya Livingstone zinaanzia/ishia huko
Lina kina cha mita 706
........
Aisee nilikuwa sijui kitu kama hiki
 
Binafsi nakubaliana na wanaounga mkono Mesut Ozil kuondoka..... Ila pia binafsi naunga mkono wanaokubaliana na Alexis Sanchez kuongeza mkataba pale arsenal...... Ila nipo 50/50 na wanaomtaka babu Wenger abaki na wanaomtaka mzee Arsen atoke pale arsenal......
Hapo cha kuzingatia ni ushauri wa Henry ndio ushauri bora kabisa
 
2/Lake Tanganyika
7b80c3f474491973c3670094d22ba935.jpg
55ffdf8ed60fcfd23dfcb22772160b69.jpg
9ae1e0222c1dcb876ba0ed9abd8448ac.jpg

(picha nimezipiga mwenyewe wakati nikiwa Kigoma)

Ndio ziwa lenye kina kirefu zaidi barani Afrika
Kwa sehwmu kubwa linatenganisha nchi za DRC na Tanzania
Nafikiri kila mtu kawahi kula dagaa wa Kigoma
Lina mchanga laini
Lina kina cha mita 1470
........
Asante kwa picha kutoka katika mkono wako mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom